KUTEKETEZA MAADUI.
#Katika kila sehemu huwa watu hatukosi maadui wengine niajirani majumbani na hata maofisini kwani kila kwenye mkusanyiko wa watu ambapo watu hufanya shughuli za utafutaji basi kunakuwa na watu huwa wana hasada ambazo huwapeleka kuwafanyia wenzao vitimbi mbaka watoke sehemu hizo wengie kwa kugombea vyeo na wengine ni hulula yao tu ya uhasidi na roho mbaya.
#Sasa ikitokea katika shughuli zako yaani kazini ama mahala popote ikatokea watu kukufanyia aidha iwe fitina ama madhila ya aina yoyote ile ambayo kwako inakukera basi unaweza kuwa sambaratisha na kuwa angamiza maadui hao utaratibu huu hapa.
1-#chukua vifuu dume(visivyo na macha ama vitobo).viwe ishirini na nane.
2-#ubani mushtaka.
3-#viwembe 28.
4-#Ndimu 28.
5-#Sindano 28
6-#ubani uvumba.
7-#miatu saaila.
8-#Pweza mkavu.
9-#ufuta.
+255717108210
+255685566362
10-#chumvi ya mawe nyingi.
11-#Baruti
12-# chungu chekundu kipya.
13-#Mnyama mwekundu.
kisha chimba shimo lefu kiasi washa moto mwingi kisha soma.
1-#suurati raadi mara kumi na tano(15).
2-#suurati tawba moja(1).
3-#suurat An'aami moja(1).
#kisha anza kusoma asmaau ahlul badri ya milango ishirini na nane(28)huku ukiwa unanuwia juu ya kuwa angamiza hao maadui na hivyo vitu vyoote utavitia ndani ya hilo shimo lenye mota kwa nia ya kuwa angamiza ulimaliza mnyama wako mchinjie humo kweye moto.
baada ya hapo chukua chungu chako kifunike juu yake chukua chuma ama mchi kivunje fukia.
#utaana kuona kila anae kufanyia uadui atakavyo dhalilika na kupata mateso.
kwa ushari wa tiba na mambo mbalimbali.
ustadh Msolo rajabu yusufu.
+255685566362
watts up.
+255717108210.