Tuesday, July 19, 2022

#MCHELE.

#MCHELE.
Watu woote duniani tuna ujua mchele kuwa ni chakula kitamu ingawaje mchele pia hutumika kutengenezea vitu tufauti na vyakula kwa niaba ya matumizi mengine tofauti inayo mpatia binaadamu faida.

hap leo kama kwaida ya page yutu hii ni kujuzana vitu tofauti na faida zake hapa leo kupitia mchele tuta jifunza ama kupata faida kupitia mchele kwa kujikidhishia haja zetu za muhimu.

#1-#Ikiwa mtu ni mfanya biashara sehemu yenye ushindani (yaani watu zaidi ya mmoja mnafanya biashara moja katika eneo moja)na unataka wateja waanze kukukimbilia wewe kununua bidhaa zako kabla ya wenzako   ama.?

2-#wewe ni dalali lakini wateja wana kupita wewe na kuwafata wengine na wewe unahitaji watu wakufate.?

+255717108210

+255685566362

3-#wewe ni mfanya kazi katika ofisi ya watu wengi na watu wanapandiahwa vyeo na wewe unasahaupika kila mwaka upo palepale maboss wanaiusahau kukupandisha cheo?.
4-Wewe ni mtu uliopo katika taasisi ama sehemu yenye uahindani wa watu wengi na wanahitajika wachache katika nyinyi iliiupata nafasi chache kwa watu maalum?

5-#Kama mtu anahitaji kufurahiwa na watu wake kwa waume(jinsia zote yaani yakike na yakiume) wakupende na kukufata kwa haja mbali mbali wakubwa kwa wadogo basi utafanya utaratibu huu..

#Kwanza chukua mchele kwa idadi ya namba ya nyota yako yaani kama nyota yako ni #kaa hii ni nyota namba nne basi kilo zako ni nne.

#ikiwa mfano ni mbuzi basi hii ni namba kumbi na kilo zako za mchele zitakuwa ni kumi kadhaalika kwa kila nyota ni hivyo mpangilio na idadi yake sawasawa.

kisha uweke katika sahani kubwa inapendeza zaidi mchele huo wakaumimina watoto mchanganyiko wa jinsia katika sahani hiyo unayotaka kufanyia kazi yako.

+255717108210

+255685566362

#tandika kitambaa cheupe chini kisha weka sinia lenye mchele juu yake washa udi saba pembeni yake kisha soma adhana mara saba unapo maliza tu majinni wengi watakuwa wamesha hudhulia mahala hapo hata wako mwenyewe wasio panda watakuwa wamesha fika hapo hata kama usipandishe jinni mda huo baada ya hapo watolee salamu kisha waambie maji lengo la kuwaita hapo ni kwa ajili gani kisha anza kusoma kisomo chako anza na suuratil  نشرح nashraha kisha soma tasili maarufu jawshanil kabiyr kila mlango mmoja utawasha mshumaa mmoja na kukata nyanya  moja juu ya ule mchele mbaka ukimaliza tawasil yako utakuwa umewasha mishuma meupe saba na umekata nyanya saba kwa manuizi unayoyakusudia.
baada ya hapo BORA ZAIDI uchinje mbuzi mweupe ama ukilosa ni kuku mweupe usikose.

#TAFADHALI HUO MCHELE HAULIWI NA BINAADAMU.
UKILA KITAKACHO KUKUTOKEA MAJINNI WATAKACHO KUKUFANYA MIMI SIMO WALA DAWA YAKE SINA TUSUSUMBUANE TAFADHALI.
utauchukua huo mchelewako tayari utakuwa ni chano kafara cha majinni utakwenda kuweka mahala pake maalum.(_____)
kisha andika auurat nashraha pamoja na majina 99 ya mwenyezi mungu katika karatasi moja kisha utaitumia kujipakaza mwili mzima kwa mda wa siku saba.
inshaa allah kwa uwezo wake mungu majibu utayaona jinsi makusudio yako yatakavyo kuwa.

kwa mawasiliano zaidi.

watts up +255717108210

+255685566363
ustadh MSOLO RAJABU YUSUFU.