UNGO.
-#UNGO ni miongoni mwa vyombo vya nyumbani vinavyo tumika kwa shunguli za kuandalia mahitaji ya vyakula. ungo zoote duniani hutokana na mti aina ya mtongo tongo ama muanzi.
Nichombo ambacho hakitengenezwi kwa material yanayo tengenezwa na binaadamu ni chombo kinacho tengenezwa na malighafi asilia.
Watu wanautumia ungoqjumbani kwa matumizi ya kawaida likini pia majumbani mwetu watu wasio wakawaida pia wanan matumizi nayo mengine pasi na kawaida.
-#Ungo hujulikana kama ndiomiongoni mwa vyombo vya usafiri kwao.
vyombo vywa the usafiri kwa washirikina na wachawi vipo vingi kwani wengine hutumia fagio wengine mbweha wengine fisi lakini kwa afrika wengi ndio hutumia ungo kama ndio usafiri wao.
ungo ni chombo ambacho washirikina na wachawi huweza kuwa tesea watu kwa iuwasababishia madhira mbali mbali ikiwemo kama vile.
1-Kuchafua nyota ya mtu.
2-kumtia mtu maradhi ya akili(uchizi)
3-Kumuhamisha mtu katika mji wake.
4-Kumpa mtu maradhi ya wasiwasi mkubwa na mpesha ya kupanda.
5-kuvuruga mipango na matarajio ya mtu.
6-Kufuta magori katika mechi za mipira.
7-Kumfunga mtu kwa kumfanya kushindwa kukumbuka kufanya jambo muhimu katika wakati maalum.
8-9-Kumtumia mtu majinni wa kichawi
Lakini pia ungo huo huo ni moja ya zana kubwa ambazo huweza kutatua matatizo makubwa yalio mkumba binaadamu kwa maradhi ya kishirikina na kichawi.
miongoni mwa mambo ambayo mtu wa kawaida anaweza kunufaika nayo na kuepukana na kadhia za kishirikini ni kama mambo yafuatayo.
1-#Kumfungua mtu nyota na nuksi ya kichawi.
Tafuta ungo mpya na mwingine wa zamani.
kwa mwanamke kwanza utachukua ungo wa zamani atafunguliwa mwili kisha utaukunia nazi mdondo utachanganya na mkanya mwangajini na mkuluka changanya pamoja kisha mwanamke mwenye tatizo la kufungika nyota ama nuksi kubwa basi atachukua ile dawa na kuanza kujisugua nayo mwili mzima kuanzia kichwani hadi miguuni huku akinuia kuondoa shida yake inayo mkabili baada ya hapo ataikusanya dawa ilio angua chini utaiweka mule kwenye ungo.
baada ya hapo ata chukua umgo mpa taandika Aayatu Nuur mara kumi na moja{11}katika majani ya maua ya mayungiyungi kisha atayatia katiaka ungo mpya na kuyaacha yamulikwe na jua siku nzima na mwezi mpevu usiku kucha na asubuhi utaitoa na kuanza kuitumia dawa yako kwa kuioga wiki nzima siku saba.
2-#Kuvurugikiwa matarajio na kufa kwa ahadi za kipato chukua majani 28 ya mbaazi 28 ya mdimu na 28 ya mkomamanga kisha kila jani andika jina moja kati ya majina ya barhatiyat kisha yaanike katika ungo mbaka yawe makavu kabisaa yatwange upate unga wake somea majina hayo hayo mara 45 na suurat mashraha mara 313.
baada ya hapo utakuwa unachota unga wa dawa yako na kuoga pamoja na kujifusha siku saba mahala pasipo kuwa na najisi wala chooni.
Kwa maswali na ushauri wa dawa na tiba.
wasiliana na ustadh,
MSOLO RAJABU YUSUFU.
+255717108210
+255685566362