Njia panda ni sehemu ambayo njia zipe kutana zaidi ya mbili hivyo huitwa njia panda.
sehemu hii ya njia panda ni sehemu nzuri na muhimu sana kwa washirikina lakini pia ni sehemu mbaya zaidi kwa watu wa kawaida.
-#Njia panda kwa wachawi ndio kituo chao cha kwanza wanapo taka kutoka kwa ajili ya kwenda kuwanga majumbani mwa watu kadhaalika na kufanya shughuli zao zote za kichawi.
+255717108210
-#Mchawi anapo taka kwenda kumroga mtu basi huenda njia panda akiwa na ungo wake ama ufagio au ngozi yake yamnyama alio itengeneza kuwa ndio chombo chake cha usafiri kisha hukinuizia kwanza kabla na iukirusha angani mwenyewe akiwa pale njia panda na kikirudi na kika fikia kwa kijifunika basi hapo hupata ishara kwamba safari yake hiyo ni nzito ama mtu anae mkusudia anakinga kali na hawezi kufanikiwa jambo alilo likusudia hivyo hurudi na kutafuta njia mbadala.
na ikiwa ungo wake ama chombo chake anacho tumia kikarudi kwa kujifunua basi ni ishara ya wazi kwake kwamba anaweza kufanya safari yake na lengo alilo linuia lina weza kufanyia.
kadhaalika hata kuwa funga watu kwa namna ya kuwasababishia matatizo mbali mbali pia hutumia semehu hii ya njia panda.
-#Kwa uchache ukijiona na dalili hizi ujijue kwamba ni mtu ulie pata madhira kwa uchawi ukio fanyika njia panda.
+255717108210
1-#Kuanzisha jambo ama biashara lakini akiwa inashuka siku baada ya siku mbaka inakwisha kabisaa hufa taratibu
2-#Mtoto kuanza kozorota/kurudi nyuma darasani na anapo fika eneo la masomo huisi mwili wake kuwa mzito kupita kiasi.
-#Lakini pia faida za njia panda kwa uchache ni kama zifuatazo.
1-#Kuvunja uadui na maneno mabaya.
chukua mchanga wa njia panda sita tofauti kisha chukua nazi sita zitoboe ingiza huo mchanga kidogo katika hizo nazi zizibe kwa nta kisha zisomee SUURAT TAWBA mara tatu na SUURAT HUUD mara moja kisha hizo nazi kazivunje usiku wake njia panda sita tofauti kwa manuizo ya kuvunja hilo jambo unalolikusudia basi litavunjika.
+255685566362
2-#Kufungua vifungo na kutoa nuksi.
Kwa mtu ambaye ana vifungo katika shughuli zake kadhaalika amenuhusika basi utachukua mchanga wa njia panda saba tofauti kisha uta uweka kwenye sinia safi na kuutandaza juu yake mwagia mtama na ngano isio kobolewa weka vunguni mwakitanda lalia kwa muda wa siku tatu siku ya nne asubuhi mapema utoe nenda kamwage njia panda tofauti na ile ulio ichukua mwanzo kwa manuizi maalum.
3-#Kumvuta mpemzi .
Ikitikea mtu kampenda mtu na anamtaka kimapenzi basi cha kufanya atachukua michanga ya njia panza saba za miji saba tofauti kila mji atachukua njia panda moja kisha utauchanganya pamoja na kuanza kukaanga ule mchanga pamoja na mchanga wa nyayo yake alipo kajaga pamoja na mizizi ya mnazi mwekundu basi huyo anae takiwa hawezi kusikia raha asipo kuona maadamu tu yeye yupo juu ya mgongo wa ardhi.
4-#Kufunga mji/nyumba.
chukua mchanga wa pembe zote za mji wako kisha kachukue mchanga wa njia panda kubwa ya mji huo funga pamoja yote katoka kitambaa cheusi usomee hicho kitambaa suurat Baqara mara moja na suurat Yaasin mara Nne.
kisha fukia katikati ya mji wako kwa manuizi kwa jinsi vile utakavyo wewe mwenyewe.
KWA MASWALI NA USHAURI WA KITABIBU.
Ustadh,. MSOLO RAJABU YUSUFU
+255717108210
+255685566362
0 comments:
Post a Comment