MAJI-2.
Ikiwa ni muendelezo wa darasa likilo tangulia tuna angalia faida ya maji katika kujikidhishia haja mbali mbali tuna endwlea kujuzana faida kama zifuatazo.
1-#Kutoa vifungo na nuksi katika mwili.
Chukua maji ya mtu ya kutembea kisha andika سورة تين الى اسفلش سافلىن
Mara saba kisha changanya na hayo maji tumia kuoga kwa siku saba.
baada ya kumaliza chukua maji ya bahari ya kujaa andika سورة القدر mara kumi na moja (11) na aayatu nnuur mara moja.tumia kuoga siku saba nuksi itaondoka na kheri zitafunguka kwako.
2-#Kumtuliza mke/mume.
Mume au mke ambaya hajatulia katika ndoa anamichepuko ama ni malaya unapotaka atulie basi.
Andika سورة النباmara moja kwa kuizunguusha duara ikunje vizuri na mzizi wa mpingo ifunge na kitambaa cheusi kaifukie katika maji yaliyo tuama kama bwawa ama ziwa ama kisima basi mtu huyo atatulia na kuacha kufanya ujinga aliokuwa akiufanya.
+255717108210
+255685566362
3-#Kumuamisha mtu sehemu.
Ikiwa kuna mtu anakuwa kero kwa watu wengine huwafanyia wenzie vitimbwi vibaya kama kuwasingizia kesi na maneno ili wafukuzwe kazi ama aondolewe mtu mahala flani kwa chuki zake tu binafsi ilimradi tu kufanyia watu ushenzi.
Basi tafuta kiatu kibovu cha kuokota kisha kiandike سورة نشرح mara saba na سورة التين mara moja.
Somea suurat nashraha mara 313.
Kisha kaitupe kwenye maji ya mto yanayo tembea basi hatoishi hapo mda mrefu mahala hapo isipokuwa ataondoka tu.
4-#Kutoa maradhi ya mda mrefu.
Chukua karatasi andika سورةالطارق الىيخرجmara moja moja katika karatasi mbili tofauti kisha moja utatumia kuioga na kunywa wiki moja na nyingine utaenda kuitupa katika kilima ambacho maji yanapita kwa manuizo na makusudio ulio nayo.
5-#Kutoa maradhi ya kichawi mwilini.
Chukua maji ya mvua weka katika glass ya maji kisha andika aya tano za mwanzo surat yaasin (سورة ياس) kisha anza kusoma sura hiyo kila ukifika katika tamko mubiyn utaziaoma aya mbili za mwisho za sura hiyo (سورة ياس) mara 33 (مبين) mgonjwa atakunywa maji hayo funda moja atafanya utaratibu huo mbaka sura inapo isha utakapo lifanya zoezi hilo kwa siku tatu hadi saba basi uchawi huo utaweza kuondoka kabisa na afya kuimarika.
Ustadh.
MSOLO RAJABU YUSUFU.
+255717108210
+255685566362.
0 comments:
Post a Comment