KUPINDUA ZOHALI/KUGEUZA HALI.(UCHAWI)
#Kwa mtu ambae amekumbwa na zohali ama amefanyiwa uwadui ama zohali ambao ukapelekea kuharibu ama kugeuza aidha iwe hali ya kiuchumi ama nyota yako basi mtu huyo anaweza kujisaidia na kujikwamua kwa kupitia utaratibu huu.
Uta takiwa kwanza kutafuta na kuijua nyota yako na siku inayo tawala nyota hiyo kisha uta ihesabu kutoka nyota yako hadi nyota ya kumi na moja yako ukisha ipata na kuijua sasa utaifanya kazi yako siku ya nyota yako kwa saa ambayo inatawala ile nyota ya kumi na moja yako muda huo uta takiwa kuwa na vitu vifuatavyo.
Chukua nazi ishirini na moja (21) uta zipange nazi zako kwenye mswala wako wa kufanyia dua yako kwa kukuzunguuka kila sehemu uta panga nazi tatu tatu kila upande zina kuzunguuka wewe ukiwa kati kati hapo kati utakapo kaa uta mwagia majivu na kuyasambaza sehemu ya kukalia wakati huo utakuwa umevaa nguo zako safi lakini nguo hizo utatakiwa uwe umezigeuza kama vile mtu anae taka kuswali swala kwa ajiki ya kuomba vua wakati wa ukame.
+255717108210
Pia nibora zaidi nguo hizo zikiwa ni nguo ulizo zivaa mda mrefu yaani una mda nazo wa miaka mingi.
Kila nazi moja utaisomea suurat yaasinياسن mara tatu(3) na ukimaliza tu kusoma sura mara tatu unaenda kuivunja kwenye jiwe mbaka zote zitakapo kwisha .
+255685566362
Baada ya kumalizakabisa utachukua ndoo ya maji masafi kisha utatia ndani yake maji saba tofauti utachanganya ndani yake na sukari nyeupe pamoja na chumvi nyeupe ya unga.
Utakoroga vizuri na huku unasomea kwenye maji hayo suuratil hajji(سورة الحج) mara moja na suuratil nnuur(سورة نور) mara tatu utaenda kuyatumia maji hayo kuyaoga muda wa wiki moja mahali pasipo kuwa chooni ama weka katika chupa ya maji masafi uwe unajipaka ndani kila unapo tuka kuiga asubuhi na usiku kwa muda wa wiki moja.
Kwa kufanya hivyo majibu utayapata na matokeo yake mazuri utayaona inshaa allah.
Kwa maswala yoote ya tiba na visomo mbali mbali wasiliana na USTADH.
#MSOLO RAJABU YUSUFU.
+255685566362
Wattsup
+255717108210.