#MAJINNI NA MIKONDO YAO.
#Majini ni viumbe vilivyo umbwa na mwwnyezimungu kama tulivyo umbwa viumbe vingine vyote isipo kuwa malaaika majinni ma binaadamu tumepewa sifa ya kupewa asili tulio tokana nayo tofauti na viumbe wengine.
-#mfano malaika wameumbwa kutokana na nuru na binaadau tumeumbwa kwa udongo na majinni wao wameubwa utokana na moto.
#majinni wamegawanyika katika tabaka kuu mbili ambazo ni uruhaania na usubiaania.
#pia vilivile unatakiwa hujua kwamba ndani ya uruhaania kuna tabaka mbili kadhaakika na usubuaania unatabaka mbili.
Ndani ya tabaka hizi wapo ambao hupendelea kuwa kwa wanaume tu na wapo ambao huweza kuwa kwa yoyote(mke ama mume) vilevile wapo ambao hupendelea wanawake zaidi.
Yote hii pia hutokea kutoka na nyota ya mtu mwenyewe husika zaidi.
+255685566362
+2557171082101-#Kundi la kwanza ni surtaania (masurtan) na burhaania(maburhaan).
-#katika kundi hili surutaania ni tabaka ambalo limeilemea zaidi katika usubiania na tabaka hili la majinni hawa huweza kupanda katika kichwa cha mtu na kuzungumza na tabia zao hawa huweza kufanya kazi katika mazingira yote mawili yaani anaweza ufanya tiba ya kitabu bimaana kufanya kuandika matarasimu kusoma dua na hata kupanga kafara ya tatizo fulani pamoja na wakati mwingine huweza kutibia kwa kutumia miti shamba yenyekuwa na asili kama ya mchanganyiko na dawa za kupika na hata kuchanganya dawa tofauti dawa za bara na pwani.
2-#Ama tabaka la pili ni burahaania.
Kundi hili la maburuhaani ni kundia ambalo kwanza hupenda sehemu ilio kuwa na utulivu zaidi na mara nyingi hawa hawapandi kichwa kwa mtu na kuingea na kusikika kwa mwingine bali wao hutoa taarifa ama habari za wazi kwa mazungumzo kwa mtu husika lakini huja pale tu panapo hitajika kupatikana taarifa muhimu mara nyingi tabaka hili si wafanyaji kazi wenyewe moja kwa moja bali hutoa maelekezo tu na kazi humuachia mtu husika kuifanya kazi hiyo.
Mara nyingi hupendelea mavazi mazuri na manukato yasio nukia sana na wengi hupenda kutumia tasbihi yaani kufanya mambo yao kwa kutumia vipande vya aya katika qur-an.
Na kufanya tiba kwa kutumia maji na aina za marashi na manukato.
+255717108210
+2556855663622-#Tabaka la pili ni makhaadim na maruhani.
Tabaka hili nalo kama lilivyo la kwanza yupo anae pendelea kupanda na asie pendelea kupanda.
1-#Ruhani -#Jinni huyu katika tabaka hili akiwa kwa mwana mke ana asilimia nyingi za kupanda kichwani lakini kwa mwanaume ni vigumu mno kupanda kichwani.
Sifa yake ni upole na kazi zake hutumia sana dua na hata kufanya ibada za usiku hupendelea mno mavazi meupe na utulivu pia hupendelea manukato yenye harufu ya mda mrefu na yasio fanana na mengine ana penda sadaka ya kuchinja mbuzi ama kuku mweupe na sadaka kuwagea watoto wadogo mfano wa vitu vitamu sana pamona na chakula.
2-#Khadimu.
-#Tabaka hili ni tabaka mbalo huweza kulikuta kwa mwanamke kwa kiasi kikubwa labda mwanamke huyo awe na elimu ya kutosha ama awe amemrithi kutoka kwa baba yake mzazi tu pekeyake.
Lakini hili ni tabaka la majinni ambalo hupatikana kwa wanaume mno ni jinni ambae anaheshimu taratibu zake anaweza kukuhama ama kuindoka kwa mda mrefu kwa kukosana kwa kitu kidogo mno si muongeaji sana anapenda kazi zake kuzifanya mwenyewe kwa ujumla hupendelea kumtokea mtu katika umbile la kibinaadamu moja kwa moja na kuingea nae kama mtu wa mawaida.
Huweza kufanya kazi mchanganyiko na ana njia nyingi za tiba na kafara za matibabu pia mda mwingine hupenda kuchinja kondoo mwekundu ama mweusi mwenye baka jeupe.
Huleta taarifa katika mda husika na anaweza kutokea popote hata kama hakuana utulivu wa kusho.
Anajua tiba ya miti na kitabu.
Hupendelea kutumia sahani ya kioo katika kuandika tiba zake.
Mda mwingine hutumia mishumaa zaidi.
Kwa maswali na ushauri.
+255717108210