#KUPAA.
:-#Mtu anapo ota anapaa angani huku akiwa katika hali ya furaha na mwenye amani.na mbaka mwisho wa ndoto yake isionyeshe kuwa ana anguka kutoka juu na akiwa na hofu na mashaka ya kuumia kutokana na kuanguka kwake basi tambua.
:-#Ni ishara ya kwamba mtu huyo atapata bahati kubwa na kufungukana katika shughulizake za kifedha.
:-#Dua yake anatakiwa asome suuratil waaqiya mara kwa mara.
+255685566362
watts up +255717108210.
0 comments:
Post a Comment