Ama akaota mafuriko yameingia ndani ya chumba chake na mbaka thamani zake za ndani zika vurugika basi ndoto hiyo ina ashiria kwamba.
#Muotaja ataharibikiwa na mambo yake lakini ajihadhari sana na maneno ya umbea na ugomvi kwani mbele yake kuna dalili ya kupigwa kipigo na mtu aidha atake mjua ama asie mjua njiani.
pia anaweza kusimamishwa kazi kwa kosa asilo litenda na kushtakiwa.
+255717108210
0 comments:
Post a Comment