Tuesday, December 20, 2022

NUKSI/MKOSI.

#KUVUA NUKSI/MKOSI.

#hakika kuna watu wengi wamekuwa wakiandamwa na nuksi/mkosi na kuoaga dawa za miti mingi na hata makombe nankufanyiwa mazingua mengi lakini bado hali ya nuksi/mkosi bado ni wenye kuwa andama katika kazi zao na maisha  yao ya utafutaji kwa ujumla.

#si kwamba hawakupewa dawa halisi ya kutoa hizo +255717108210 nuksi/mkosi laaa hasha si hivyo.
Isipo kuwa nuksi zina matabaka.

A-#kuna nuksi ya upepo mbaya tu kukupitia :-hii huweza kuoga dawa tu na kuondoka mara koja hata kama upewe dawa isiyo kuwa na nguvu kubwa.

B-#Nuksi ya upepo wa jinni :-hii pia unapo pozwa tu na madawa ya kufukiza basi unapo toka upepo ule na nuksi yake huondoka pamoja.

C-#Nuksi ya kuiiumbwa kwa kuoga maji ya kubakishwa chooni :-hii pia huweza kutoka kwa kupigwa majosho matatu na nuksi kuondoka na kukaa sawa.

D-#Nuksi ya kuzini na mtu mwenye nuksi:-Mtu anapo jamiiana+255685566362 (kufanya mapenzi)na mtu mwenye nuksi basi mtu huweza kuambukizwa na kupata nuksi itakayo mfelisha katika shughuli zake za utafutaji wa biashara na maisha.

+255717108210

+255685566362

E-#NUKSI YA KAFARA NA KIAPO.
#:-Sasa hii ndio nuksi ambayo mtu anapo kuwa nayo ina kuwa ni nzito kutoka kama hukuijua na kupita katika miiko yake.
Kwani nuksi hizi ni miongoni mwa nuksi kali na ni mbaya sana kuwepo kwa mtu.

#Kwani nuksi hizi hutokana na mtu mwenyewe kuchukuliwa athali zake yaani kuchukuliwa(nguo yake ama kucha zake au nywele zake)na kufanyiwa mambo ya kichawi na mtu ndio hufungika nankuvurugikiwa maisha yake kabisa.

#Hivyo basi basi unatakiwa pia kupita katika miiko yake na taratibu zake ili kuweza kuivunja nuksi hiyo na mtu aweze kupata nusura.

#Nuksi hii ili uweze kuepukana nayo basi inakubidi upate baadhi ya vitu utakavyo fanyia dawa yake ambavyo ni kama ifuatavyo.

#Mgonjwa huyo mwenye nuksi ata vaa nguo zake kama kawaida vizuri kabisaa kama kawaida yake anavyo vaa kila siku lakini pale mahala ambapo anatakiwa kukaa kufanyiwa dua yake kuna takiwa kuwekwe vitu vifuatavyo.

#Taka za bahari za maji kutoka, ngata ya sokoni,jivu la jalalali,Yai viza moja,Nazi za kawaida tisa(9).mgonjwa atakalia hapo kwenye hivyo vitu kisha ndio atafanyiwa Dua/kisomo chake mbaka akimaliza basi vitu vyote vile hadi nguo alizo zivaa wakati wa dua ata zimwagia mafuta ya taa na atapeleka mahala husika.

#Basi baada ya muda ataanza kuona mabadiliko na mambo yake kufunguka na nuksi/mkosi ulio kuwa ukimsumbua kuondoka.

#Ustadh,

         #MSOLO RAJABU YUSUFU.

#watts up +255717108210.

#Simu namba +255685566362


Thursday, December 8, 2022

MAJI-2.

MAJI-2.
Ikiwa ni muendelezo wa darasa likilo tangulia tuna angalia faida ya maji katika kujikidhishia haja mbali mbali tuna endwlea kujuzana faida kama zifuatazo.

1-#Kutoa vifungo na nuksi katika mwili.
Chukua maji ya mtu ya kutembea kisha andika  سورة تين الى اسفلش سافلىن
Mara saba kisha changanya na hayo maji tumia kuoga kwa siku saba.
baada ya kumaliza chukua maji ya bahari ya kujaa andika سورة القدر mara kumi na moja (11) na aayatu nnuur mara moja.tumia kuoga siku saba nuksi itaondoka na kheri zitafunguka kwako.

2-#Kumtuliza mke/mume.
Mume au mke ambaya hajatulia katika ndoa anamichepuko ama ni malaya unapotaka atulie basi.
Andika سورة النباmara moja kwa kuizunguusha duara ikunje vizuri na mzizi wa mpingo ifunge na kitambaa cheusi kaifukie katika maji yaliyo tuama kama bwawa ama ziwa ama kisima basi mtu huyo atatulia na kuacha kufanya ujinga aliokuwa akiufanya.

+255717108210

+255685566362

3-#Kumuamisha mtu sehemu.
Ikiwa kuna mtu anakuwa kero kwa watu wengine huwafanyia wenzie vitimbwi vibaya kama kuwasingizia kesi na maneno ili wafukuzwe kazi ama aondolewe mtu mahala flani kwa chuki zake tu binafsi ilimradi tu  kufanyia watu ushenzi.
Basi tafuta kiatu kibovu cha kuokota kisha kiandike سورة نشرح mara saba na سورة التين mara moja.
Somea suurat nashraha mara 313.
Kisha kaitupe kwenye maji ya mto yanayo tembea basi hatoishi hapo mda mrefu mahala hapo isipokuwa ataondoka tu.

4-#Kutoa maradhi ya mda mrefu.
Chukua karatasi andika سورةالطارق الىيخرجmara moja moja katika karatasi mbili tofauti kisha moja utatumia kuioga na kunywa wiki moja na nyingine utaenda kuitupa katika kilima ambacho maji yanapita kwa manuizo na makusudio ulio nayo.

5-#Kutoa maradhi ya kichawi mwilini.
Chukua maji ya mvua weka katika glass ya maji kisha  andika aya tano za mwanzo surat yaasin (سورة ياس) kisha anza kusoma sura hiyo kila ukifika katika tamko mubiyn utaziaoma aya mbili za mwisho za sura hiyo (سورة ياس) mara 33 (مبين)  mgonjwa atakunywa maji hayo funda moja atafanya utaratibu huo mbaka sura inapo isha utakapo lifanya zoezi hilo kwa siku tatu hadi saba basi uchawi huo utaweza kuondoka kabisa na afya kuimarika.

Ustadh.
MSOLO RAJABU YUSUFU.

+255717108210

+255685566362.

Wednesday, November 9, 2022

Watch "MIGUU KUUMA NA TIBA ZAKE." on YouTube



Sunday, November 6, 2022

NJIA PANDA.

Njia panda ni sehemu ambayo njia zipe kutana zaidi ya mbili hivyo huitwa njia panda.
sehemu hii ya njia panda ni sehemu nzuri na muhimu sana kwa washirikina lakini pia ni sehemu mbaya zaidi kwa watu wa kawaida.
-#Njia panda kwa wachawi ndio kituo chao cha kwanza wanapo taka kutoka kwa ajili ya kwenda kuwanga majumbani mwa watu kadhaalika na kufanya shughuli zao zote za kichawi.

+255717108210

-#Mchawi anapo taka kwenda kumroga mtu basi huenda njia panda akiwa na ungo wake ama ufagio au ngozi yake yamnyama alio itengeneza kuwa ndio chombo chake cha usafiri kisha hukinuizia kwanza kabla na iukirusha angani mwenyewe akiwa pale njia panda na kikirudi na kika fikia kwa kijifunika basi hapo hupata ishara kwamba safari yake hiyo ni nzito ama mtu anae mkusudia anakinga kali na hawezi kufanikiwa jambo alilo likusudia hivyo hurudi na kutafuta njia mbadala.
na ikiwa ungo wake ama chombo chake anacho tumia kikarudi kwa kujifunua basi ni ishara ya wazi kwake kwamba anaweza kufanya safari yake na lengo alilo linuia lina weza kufanyia.

kadhaalika hata kuwa funga watu kwa namna ya kuwasababishia matatizo mbali mbali pia hutumia semehu hii ya njia panda.

-#Kwa uchache ukijiona na dalili hizi ujijue kwamba ni mtu ulie pata madhira kwa uchawi ukio fanyika njia panda.

+255717108210

1-#Kuanzisha jambo ama biashara lakini akiwa inashuka siku baada ya siku mbaka inakwisha kabisaa hufa taratibu

2-#Mtoto kuanza kozorota/kurudi nyuma darasani na anapo fika eneo la masomo huisi mwili wake kuwa mzito kupita kiasi.

-#Lakini pia faida za njia panda kwa uchache ni kama zifuatazo.

1-#Kuvunja uadui na maneno mabaya.
chukua mchanga wa njia panda sita tofauti kisha chukua nazi sita zitoboe ingiza huo mchanga kidogo katika hizo nazi zizibe kwa nta kisha zisomee SUURAT TAWBA mara tatu na SUURAT HUUD mara moja kisha hizo nazi kazivunje usiku wake njia panda sita tofauti kwa manuizo ya kuvunja hilo jambo unalolikusudia basi litavunjika.

+255685566362

2-#Kufungua vifungo na kutoa nuksi.
Kwa mtu ambaye ana vifungo katika shughuli zake kadhaalika amenuhusika basi utachukua mchanga wa njia panda saba tofauti kisha uta uweka kwenye sinia safi na kuutandaza juu yake mwagia mtama na ngano isio kobolewa weka vunguni mwakitanda lalia kwa muda wa siku tatu siku ya nne asubuhi mapema utoe nenda kamwage njia panda tofauti na ile ulio ichukua mwanzo kwa manuizi maalum.

3-#Kumvuta mpemzi .
Ikitikea mtu kampenda mtu na anamtaka kimapenzi basi cha kufanya atachukua michanga ya njia panza saba za miji saba tofauti kila mji atachukua njia panda moja kisha utauchanganya pamoja na kuanza kukaanga ule mchanga pamoja na mchanga wa nyayo yake alipo kajaga pamoja na mizizi ya mnazi mwekundu basi huyo anae takiwa hawezi kusikia raha asipo kuona maadamu tu yeye yupo juu ya mgongo wa ardhi.

4-#Kufunga mji/nyumba.
chukua mchanga wa pembe zote za mji wako kisha kachukue mchanga wa njia panda kubwa ya mji huo funga pamoja yote katoka kitambaa cheusi usomee hicho kitambaa suurat Baqara mara moja na suurat Yaasin mara Nne.
kisha fukia katikati ya mji wako kwa manuizi kwa jinsi vile utakavyo wewe mwenyewe.

KWA MASWALI NA USHAURI WA KITABIBU.

Ustadh,.    MSOLO RAJABU YUSUFU 


+255717108210

+255685566362


Saturday, September 17, 2022

#UNGO

UNGO.
-#UNGO ni miongoni mwa vyombo vya nyumbani vinavyo tumika kwa shunguli za kuandalia mahitaji ya vyakula. ungo zoote duniani hutokana na mti aina ya mtongo tongo ama muanzi.
Nichombo ambacho hakitengenezwi kwa material yanayo tengenezwa na binaadamu ni chombo kinacho tengenezwa na malighafi asilia.

Watu wanautumia ungoqjumbani kwa matumizi ya kawaida likini pia majumbani mwetu watu wasio wakawaida pia wanan matumizi nayo mengine pasi na kawaida.
-#Ungo hujulikana kama ndiomiongoni mwa vyombo vya usafiri kwao.
vyombo vywa the usafiri kwa washirikina na wachawi vipo vingi kwani wengine hutumia fagio wengine mbweha wengine fisi lakini kwa afrika wengi ndio hutumia ungo kama ndio usafiri wao.
ungo ni chombo ambacho washirikina na wachawi huweza kuwa tesea watu kwa iuwasababishia madhira mbali mbali ikiwemo kama vile.
1-Kuchafua nyota ya mtu.
2-kumtia mtu maradhi ya akili(uchizi)
3-Kumuhamisha mtu katika mji wake.
4-Kumpa mtu maradhi ya wasiwasi mkubwa na mpesha ya kupanda.
5-kuvuruga mipango na matarajio ya mtu.
6-Kufuta magori katika mechi za mipira.
7-Kumfunga mtu kwa kumfanya kushindwa kukumbuka kufanya jambo muhimu katika wakati maalum.
8-9-Kumtumia mtu majinni wa kichawi

Lakini pia ungo huo huo ni moja ya zana kubwa ambazo huweza kutatua matatizo makubwa yalio mkumba binaadamu kwa maradhi ya kishirikina na kichawi.
miongoni mwa mambo ambayo mtu wa kawaida anaweza kunufaika nayo na kuepukana na kadhia za kishirikini ni kama mambo yafuatayo.
1-#Kumfungua mtu nyota na nuksi ya kichawi.

Tafuta ungo mpya na mwingine wa zamani.
kwa mwanamke kwanza utachukua ungo wa zamani atafunguliwa mwili kisha utaukunia nazi mdondo utachanganya na mkanya mwangajini na mkuluka changanya pamoja kisha mwanamke mwenye tatizo la kufungika nyota ama nuksi kubwa basi atachukua ile dawa na kuanza kujisugua nayo mwili mzima kuanzia kichwani hadi miguuni huku akinuia kuondoa shida yake inayo mkabili baada ya hapo ataikusanya dawa ilio angua chini utaiweka mule kwenye ungo.
baada ya hapo ata chukua umgo mpa taandika Aayatu Nuur mara kumi na moja{11}katika majani ya maua ya mayungiyungi kisha atayatia katiaka ungo mpya na kuyaacha yamulikwe na jua siku nzima na mwezi mpevu usiku kucha na asubuhi utaitoa na kuanza kuitumia dawa yako kwa kuioga wiki nzima siku saba.

2-#Kuvurugikiwa matarajio na kufa kwa ahadi za kipato chukua majani 28 ya mbaazi 28 ya mdimu na 28 ya mkomamanga kisha kila jani andika jina moja kati ya majina ya barhatiyat kisha yaanike katika ungo mbaka yawe makavu kabisaa yatwange upate unga wake somea majina hayo hayo mara 45 na suurat mashraha mara 313.
baada ya hapo utakuwa unachota unga wa dawa yako na kuoga pamoja na kujifusha siku saba  mahala pasipo kuwa na najisi wala chooni.

Kwa maswali na ushauri wa dawa na tiba.
wasiliana na ustadh,  
           
MSOLO RAJABU YUSUFU.

+255717108210

+255685566362


Thursday, August 11, 2022

#TATIZO LA KUZIBA MKOJO.

#KUZIBA MKOJO.

-#Kuna watu ambao hukumbwa na tatizo hili la kuzibwa na mkojo wengine kwa ajili ya uzee wengine upigaji wa punyeto wengine ulaji wa vyakula vya mafuta mengi na kusababisha damu kupita katika mishipa inayo stahiki na kuweza kufanya njia ya mkojo mishipa yake kuahindwa kufanya kazi na kushindwa kupitisha mkojo.

0717108210

0685566362

-#hivyo kwa mtu ambae anatatizo hilo la kuziba mkojo basi atatakiwa kuchukua Habbat saudaa ya unga ujazo wa zaidi ya robo kilo.

#matumizi:-Changanya ujazo wa vijiko viwili (2)kikubwa cha chakula cha unga wa habbat saudaa tia ndani ya glass moja ya maji ya uvuguvugu koroga vizuri kisha ongezea kijiko kimoja(1) kikubwa cha asali koroga tena kisha kunywa  kwa muda wa siku tatu(3)hadi tano(5) kusiku mara mbili(×2).

ustadh,

           MSOLO RAJABU YUSUFU.

+255685566362

+255717108210.

#VIPELE.

#MAPELE MWILINI.

-#Ikiwa ni mtoto ama mtu mzima(mkubwa) anasumbuliwa na maradhi ya kutokwa na mapele katika ngozi ya mwili basi atatakiwa kuchukua majani ya mtango kiasi cha viganja viwili twanga mbaka iwe laini kisha uikamue vizuri pasi na kuweka maji kisha yale maji utakayo yapata changanya na mafuta ya nazi na unga wa mzizi wa mkomamanga changanya ikorogege vizuru.

#matumizi.
utakuwa unatumia kupaka mwilini mara mbili kwa siku asubuhi na usiku.
kwa muda wa wiki moja.

MSOLO RAJABU YUSUFU.

+255717108210

+255685566362.

#BAWAAILI/ MGORO.

#BAWASILI/MGOLO.

-#Hili ni tatizo ambalo linawapata watu wengi kila mmoja na sababu zake mbali mbali ambazo hupelekea sehemu yake ya haja kubwa kutokeza nyama na iuahindwa kupata choo kikubwa na kupatwa maumivu makali sana.

-#kwa mtu ambae anaau.buliwa na tatizo hili la mgoro atatumia dawa zifuatazo ili kuweza kuondokana na tatizo hilo.

1-#Kwanza atachukua dafu na maji yake atatumia kujipaka sehemu hiyo ya haja kubwa.
kisha ata changanya ute wa yai la kuku wa kienyeji pamoja na mafuta ya alizeti kiasi koroga vizuri ichanganyike chukua na unga wa ganda la koma manga bivu changanya tena ichanganyike vizuri.

0685566362

0717108210

Matumizi.-#Ajipake mara kwa mara mbaka atakapo kaa sawa.

2-#Ama utachukua majani ya mzalia nyuma na majani ni kivumbasi uta changanya na mizizi yake kisha utaichemsha vizuri na utatumia kunywa robo kikombe mara tatu kwa siku sambamba na kunawia sehemu husika.

Ustadh MSOLO YAJABU YUSUFU.

          +255717108210

+255685566362.

VIDONDA UKENI.

#VIDONDA UKENI.

-#Kwa mwanamke ambaye anatatizo la kutokwa na vidonda ukeni basi atatatika kuchukua mzizi wa mti wa mkomamanga ausage apate unga wake twanga na kungumanga upate unga laini changanya pamoja vizuri.

 #MATUMIZI.

0717108210

-#Osha vizuri nyeti yako(uke) kwa kutumia maji ya uvuguvugu  kisha kausha kwa kitambaa safi  baada ya kukauka chuku mafuta ya nazi ama nyonyo kiasi kidogo itategemea na utakayo yapata kirahiai kwa mazingira ulio kuwepo changanya na unga wa hiyo dawa yako ulio kwisha ichanganya vizuri ikoroge vizuri kisha paka huko kwa bibi usiku wakati wa kulala.
rudia zoezi hilo mbaka utakapo poa kabisaa.

MSOLO RAJABU YUSUFU.

+255717108210

+255685566362.

DAMU YA HEDHI.

#HEDHI ISIYO TOKA VIZURI.

-#Kwa manamke ambaye damu yake ya hedhi haitoki vizuri na hata kupelekea kinena chake kuuma basi mwanamke huyu anaweza kujisaidia kijitibia kwa kufanya dawa hii.
1-#Ata chukua ufuta kilo tatu na robo(¾) kwa muda usio pungua masaa sita kisha utauchuja maji yake uyahifadhi vizuri kisha uwe unakunywa ujazo wa kikombe cha kawaha =na robo kikombe cha chai kutwa mara mbili yaani asubuhi na usiku.

+255717108210

+255685566362

Ama anaweza kuchukua dawa  nyingine ambayo ni hii.

2-#Chukua asali safi changanya na mafuta ya oto changanya pamoja kwa ujazo sawa kisha iache kwwnye moto ichemke sana baada ya kihakiki imechemka sana iipue uhifadhi dawa yako matumizi utatakiwa kunywa mara mbili kwa siku ujazo wa kikombe kidogo cha kahawa lakini #sharti unatakiwa kuinywa ukiwa umeaimama wima kisha baada ya kunywa tu ulale kifudifudi kwa muda wa dakika 30 hadi 45.

utaitumia kwa siku tano hadi wiki moja.

USTADH,

MSOLO RAJABU YUSUFU.

+255717108210

+255685566362

DAWA ZA MASHEYTWANI.

#DAWA ZA KUFUKUZA MASHEYTWANI WA KIJINNI.

#Watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na matatizo mbali mbali ambayo sababu yake ni kusibiwa na masheytwani wa kijinni hii hapa ni tiba kwa mtu ambaye anateseka na maradhi yote ya kisheytwani wa kijinni kwanza utatakiwa kuandaa dawa hizi kabla ya kuanza kufanya dua kwa mgonjwa.

+255717108210

+255685566362

1-#Udi karaha.      2-#Makula azraki.  3-#Pilipili Manga.   4-#Bas bas jauza.   5-#Sufa.     6-#Tangawizi kavu.      7-#Kamun Aswadi.   8-#Kamun Abyadhi.      9-#Haltiti kidogo.   10-#Giligilani.    11-#Harmali.       12-#Habbad saudaa.     13-#khardali.          14-#hiliki.
Dawa zote hizi kumi na nne(14) zichanganywe vizuri kisha zikaangwe katika moto hafifu kwa kutumia chungu baada ya hapo utaitunza vizuri.

#HATUA YA PILI.

-#Andika suuratil faatiha ×3.       Ikhlaswi ×3.     suuratil falaqi ×3.     suurati Nnasi ×3.      Aayatul qursiyu ×3.

utaiyayusha kwa maji ya ndimu na kuingeza maji ya kawaida kisha utachukua dawa yako hapo juu hiyo ya mchanganyiko wa dawa (14) utaiweka kidogo kwenye hayo maji kisha muweke mgonjwa chini anza kumsomea sura hizo hizo ulizo ziandika kila moja mara sabini na moja (71) huku ukiwa unamwagia hayo maji kidogo kidogo si mbaka aloe hapana. 
utaufanya utaratibu huo kwa siku tatu hadi saba dawa hiyo ulio itengeneza atatumia kunwlywa kwenye uji kutwa mara tatu pamoja na kujifusha usiku tu. 
Basi mgonjwa atapata shifaa na kupona kabisaaa kwa uwezo wako mwemyeezimungu.

ustadh,

 MSOLO RAJABU YUSUFU.

+255717108210

+255685566362


MAUA YA YUNGIYUNGI.

#MAYUNGI YUNGI.
#Haya ni maua maarufu sana kwa watu wanao kaa ama kupitapita sehemu za mabondeni kwenye mabwawa mito hata mashamba ya mipunga.

#maua haya mbali na kuhitajiwa sana na samaki kwa ajili ya kuwakinga na jua pamoja na kutengea maeneo ya mazalia yao sisi hapa tuta yaangalia maua haya na faida zake kwa binaadamu kujitibia na kutatulia mambo mbalimbali.
tuungane pamoja tupate kuelimishana.

1-#Kufungua mwili.
kwa mtu ambaye ana sumbuliwa na nuksi na kufungika kwa mambo yake basi atachukua majani saba ya myungiyungi uta yalalia siku saba kisha uta yatoa na kuyaandike suurat naswir kila jani moja utaandika mara tatu kisha uta yaanika mbaka yakauke yaponde yawe unga laini changanya na majani ya kivumbasi tumia kuoga kwa muda wa wiki moja basi mambo yata funguka.

+255717108210

+255685566362

2-#Kuvuta majinni yako wa kichwani.
Kwa mtu ambae majinni yake yamekaa mbali ama hayana nguvu ya kumuotesha mambo basi chukua sinia kubwa weka maua ya myungiyungi weka na punje za karafuu.hiliki.ndizi mbivu vipande vya miwatende kidogo na hiliki. weka chupa ya marash rose usiku wakati wa kulala utawasha udi na kuwaita hao majinni wako na kuwaeleza utakalo na wao watakuja na kukuhabarisha utakayo.

3-#Kuvuta upendo kwa watu.
Ikiwa mtu anataka kuwa na bahati na kupendwa na watu basi ata chukua maua ya waridi.maua ya myungiyungi na shajarat maryamu.utayachanganya pamoja kisha suurat nuur yote mara moja changanya vyote kwa pamoja kila siku ukitaka kuoga chemsha mchai chai changanya ndio utumia kuoga kwa wiki moja asubuhi na jioni kipindi jua lina zama maajabu yake utayaona.

Imetolewa na ustadh.

MSOLO RAJABU YUSUFU.

Watts up +255717108210

ama +255685566362


DAWA NA TIBA.-1

#JITIBU NYUMBANI-4

-#Huu ni muendelezo wa darasa zetu kupitia ukumbi wetu huu wa kujuzana faida na dawa kwa binaadamu kutumia vitu mbalimbali hii ni hatua ya nne twende sote sambamba katika kujifunza.

Kupunguza mafuta latika moyo na kusafisha miahipa ya moyo.
-#tafuta majani ya mpapai yakaushe kisha twanga unga wake changanya na unga wa habbat soda kidogo mchanganyo uwe majani ya mpapai yawe marambili ya unga wa habbat soda tumia asubuhi na uaiku katika maji ya uvuguvugu ama maziwa fresh tumia ndani ya siku 21 hadi 42.

2-#maumivu ya kichwa cha mpele chukuwa kikonyo cha boga kikaushe pata unga kisha changanga na mafuta ya zaituni upate uji mzito kidogo pakaa kwenye muishilizo wa nywele kuanzia usawa wa sikio hadi sikio bila kufila kisogoni kisha lala chali kwa kiasi cha dakika 25 hadi 40 baada ya hapo nyanyuka unaweza kufanya harakati zako zingine.

3-#kuongeza uimara wa mishipa ya uume(dhakari).
tafuta mizizi ya mpapai dume changanya na mizizi ya mpera mwekundu na mizizi ya mjafari.
#chemsha pamoja mbaka ichemke sana kisha ipua chuja kwa chujio la chai matumizi nusukikombe cha chai asubuhi na jioni kwa siku 9 hadi 14.

4-#MGORO.
-#kwa mtuwenye kutokwa na kinyama katika njia ya haja kubwa basi atatakiwa kuchukua mizizi ya mwangajini kisha iloweke pamoja na mizizi ya mguluka kwa takribani masaa sita (6) hadi (10) kabla ya kutumia ikisha kuwa tayari mgonjwa atatumia kunywa nusu kikombe kutwa mara tatu kwa muda wa siku tano(5) hadi (7).

5-#KUPANDA MAZAO.
-#Chukua kasela ya bara changanya katika mbegu zako unazo taka kupanda kisha kapande siku ya alhamisi asubuhi kabla jua halija chomoza.

6-#maumivu ya viungo.
saga vitunguuthaumu iwe rojo nzito changanya na asali ujaso sawa kisha tia unga wa a-#habbat soda.2-#koto. 3-#uwatu.4-#hulba.
5-#habbat sufa.6-#unga wa abdalasini.
7-#kamuni as-wad.
changanyo vyoote hivyo vizuri mgonjwa atakuwa anakula vijiko kikubwa vitatu vya chakula kila baada ya kula chakula.
siku saba hadi siku 11.

Kwa maswali na maoni zaidi 

wasiliana na ustaadh MSOLO RAJABU YUSUFU.

Watte up +255717108210

+255685566362.

Tuesday, July 19, 2022

#MCHELE.

#MCHELE.
Watu woote duniani tuna ujua mchele kuwa ni chakula kitamu ingawaje mchele pia hutumika kutengenezea vitu tufauti na vyakula kwa niaba ya matumizi mengine tofauti inayo mpatia binaadamu faida.

hap leo kama kwaida ya page yutu hii ni kujuzana vitu tofauti na faida zake hapa leo kupitia mchele tuta jifunza ama kupata faida kupitia mchele kwa kujikidhishia haja zetu za muhimu.

#1-#Ikiwa mtu ni mfanya biashara sehemu yenye ushindani (yaani watu zaidi ya mmoja mnafanya biashara moja katika eneo moja)na unataka wateja waanze kukukimbilia wewe kununua bidhaa zako kabla ya wenzako   ama.?

2-#wewe ni dalali lakini wateja wana kupita wewe na kuwafata wengine na wewe unahitaji watu wakufate.?

+255717108210

+255685566362

3-#wewe ni mfanya kazi katika ofisi ya watu wengi na watu wanapandiahwa vyeo na wewe unasahaupika kila mwaka upo palepale maboss wanaiusahau kukupandisha cheo?.
4-Wewe ni mtu uliopo katika taasisi ama sehemu yenye uahindani wa watu wengi na wanahitajika wachache katika nyinyi iliiupata nafasi chache kwa watu maalum?

5-#Kama mtu anahitaji kufurahiwa na watu wake kwa waume(jinsia zote yaani yakike na yakiume) wakupende na kukufata kwa haja mbali mbali wakubwa kwa wadogo basi utafanya utaratibu huu..

#Kwanza chukua mchele kwa idadi ya namba ya nyota yako yaani kama nyota yako ni #kaa hii ni nyota namba nne basi kilo zako ni nne.

#ikiwa mfano ni mbuzi basi hii ni namba kumbi na kilo zako za mchele zitakuwa ni kumi kadhaalika kwa kila nyota ni hivyo mpangilio na idadi yake sawasawa.

kisha uweke katika sahani kubwa inapendeza zaidi mchele huo wakaumimina watoto mchanganyiko wa jinsia katika sahani hiyo unayotaka kufanyia kazi yako.

+255717108210

+255685566362

#tandika kitambaa cheupe chini kisha weka sinia lenye mchele juu yake washa udi saba pembeni yake kisha soma adhana mara saba unapo maliza tu majinni wengi watakuwa wamesha hudhulia mahala hapo hata wako mwenyewe wasio panda watakuwa wamesha fika hapo hata kama usipandishe jinni mda huo baada ya hapo watolee salamu kisha waambie maji lengo la kuwaita hapo ni kwa ajili gani kisha anza kusoma kisomo chako anza na suuratil  نشرح nashraha kisha soma tasili maarufu jawshanil kabiyr kila mlango mmoja utawasha mshumaa mmoja na kukata nyanya  moja juu ya ule mchele mbaka ukimaliza tawasil yako utakuwa umewasha mishuma meupe saba na umekata nyanya saba kwa manuizi unayoyakusudia.
baada ya hapo BORA ZAIDI uchinje mbuzi mweupe ama ukilosa ni kuku mweupe usikose.

#TAFADHALI HUO MCHELE HAULIWI NA BINAADAMU.
UKILA KITAKACHO KUKUTOKEA MAJINNI WATAKACHO KUKUFANYA MIMI SIMO WALA DAWA YAKE SINA TUSUSUMBUANE TAFADHALI.
utauchukua huo mchelewako tayari utakuwa ni chano kafara cha majinni utakwenda kuweka mahala pake maalum.(_____)
kisha andika auurat nashraha pamoja na majina 99 ya mwenyezi mungu katika karatasi moja kisha utaitumia kujipakaza mwili mzima kwa mda wa siku saba.
inshaa allah kwa uwezo wake mungu majibu utayaona jinsi makusudio yako yatakavyo kuwa.

kwa mawasiliano zaidi.

watts up +255717108210

+255685566363
ustadh MSOLO RAJABU YUSUFU.


Monday, June 20, 2022

MUANGAMIZE ADUI YAKO.

KUTEKETEZA MAADUI.

#Katika kila sehemu huwa watu hatukosi maadui wengine niajirani majumbani na hata maofisini kwani kila kwenye mkusanyiko wa watu ambapo watu hufanya shughuli za utafutaji basi kunakuwa na watu huwa wana hasada ambazo huwapeleka kuwafanyia wenzao vitimbi mbaka watoke sehemu hizo wengie kwa kugombea vyeo na wengine ni hulula yao tu ya uhasidi na roho mbaya.

#Sasa ikitokea katika shughuli zako yaani kazini ama mahala popote ikatokea watu kukufanyia aidha iwe fitina ama madhila ya aina yoyote ile ambayo kwako inakukera basi unaweza kuwa sambaratisha na kuwa angamiza maadui hao utaratibu huu hapa.

1-#chukua vifuu dume(visivyo na macha ama vitobo).viwe ishirini na nane.

2-#ubani mushtaka.

3-#viwembe 28.

4-#Ndimu 28.

5-#Sindano 28

6-#ubani uvumba.

7-#miatu saaila.

8-#Pweza mkavu.

9-#ufuta.

+255717108210

+255685566362

10-#chumvi ya mawe nyingi.

11-#Baruti

12-# chungu chekundu kipya.

13-#Mnyama mwekundu.

kisha chimba shimo lefu kiasi washa moto mwingi kisha soma.

1-#suurati raadi mara kumi na tano(15).
2-#suurati tawba moja(1).

3-#suurat An'aami moja(1).

#kisha anza kusoma asmaau ahlul badri ya milango ishirini na nane(28)huku ukiwa unanuwia juu ya kuwa angamiza hao maadui na hivyo vitu vyoote utavitia ndani ya hilo shimo lenye mota kwa nia ya kuwa angamiza ulimaliza mnyama wako mchinjie humo kweye moto.
baada ya hapo chukua chungu chako kifunike juu yake chukua chuma ama mchi kivunje fukia.

#utaana kuona kila anae kufanyia uadui atakavyo dhalilika na kupata mateso.

kwa ushari wa tiba na mambo mbalimbali.

ustadh Msolo rajabu yusufu.

+255685566362

watts up.

    +255717108210.


Wednesday, June 8, 2022

SAYARI YA TIBA CHANNEL.

https://youtube.com/channel/UCyOBcRwvtviaYSok1QnLYqg
https://fb.watch/dfjk6QMB3F/

Tuesday, May 17, 2022

mikondo ya majnni.

#MAJINNI NA MIKONDO YAO.

#Majini ni viumbe vilivyo umbwa na mwwnyezimungu kama tulivyo umbwa viumbe vingine vyote isipo kuwa malaaika majinni ma binaadamu tumepewa sifa ya kupewa asili tulio tokana nayo tofauti na viumbe wengine.

-#mfano malaika wameumbwa kutokana na nuru na binaadau tumeumbwa kwa udongo na majinni wao wameubwa utokana na moto.
#majinni wamegawanyika katika tabaka kuu mbili ambazo ni uruhaania na usubiaania.
#pia vilivile unatakiwa hujua kwamba ndani ya uruhaania kuna tabaka mbili kadhaakika na usubuaania unatabaka mbili.
Ndani ya tabaka hizi wapo ambao hupendelea kuwa kwa wanaume tu na wapo ambao huweza kuwa kwa yoyote(mke ama mume) vilevile wapo ambao hupendelea wanawake zaidi.
Yote hii pia hutokea kutoka na nyota ya mtu mwenyewe husika zaidi.
+255685566362

+2557171082101-#Kundi la kwanza ni surtaania (masurtan) na burhaania(maburhaan).
-#katika kundi hili surutaania ni tabaka ambalo limeilemea zaidi katika usubiania na tabaka hili la majinni hawa huweza kupanda katika kichwa cha mtu na kuzungumza na tabia zao hawa huweza kufanya kazi katika mazingira yote mawili yaani anaweza ufanya tiba ya kitabu bimaana kufanya kuandika matarasimu kusoma dua na hata kupanga kafara ya tatizo fulani pamoja na wakati mwingine huweza kutibia kwa kutumia miti shamba yenyekuwa na asili kama ya mchanganyiko na dawa za kupika na hata kuchanganya dawa tofauti dawa za bara na pwani.

2-#Ama tabaka la pili ni burahaania.
Kundi hili la maburuhaani ni kundia ambalo kwanza hupenda sehemu ilio kuwa na utulivu zaidi na mara nyingi hawa hawapandi kichwa kwa mtu na kuingea na kusikika kwa mwingine bali wao hutoa taarifa ama habari za wazi kwa mazungumzo kwa mtu husika lakini huja pale tu panapo hitajika kupatikana taarifa muhimu mara nyingi tabaka hili si wafanyaji kazi wenyewe moja kwa moja bali hutoa maelekezo tu na kazi humuachia mtu husika kuifanya kazi hiyo.
Mara nyingi hupendelea mavazi mazuri na manukato yasio nukia sana na wengi hupenda kutumia tasbihi yaani kufanya mambo yao kwa kutumia vipande vya aya katika qur-an.
Na kufanya tiba kwa kutumia maji na aina za marashi na manukato.

+255717108210

+2556855663622-#Tabaka la pili ni makhaadim na maruhani.
Tabaka hili nalo kama lilivyo la kwanza yupo anae pendelea kupanda na asie pendelea kupanda.

1-#Ruhani -#Jinni huyu katika tabaka hili akiwa kwa mwana mke ana asilimia nyingi za kupanda kichwani lakini kwa mwanaume ni vigumu mno kupanda kichwani.
Sifa yake ni upole na kazi zake hutumia sana dua na hata kufanya ibada za usiku hupendelea mno mavazi meupe na utulivu pia hupendelea manukato yenye harufu ya mda mrefu na yasio fanana na mengine ana penda sadaka ya kuchinja mbuzi ama kuku mweupe na sadaka kuwagea watoto wadogo mfano wa vitu vitamu sana pamona na chakula.

2-#Khadimu.
-#Tabaka hili ni tabaka mbalo huweza kulikuta kwa mwanamke kwa kiasi kikubwa labda mwanamke huyo awe na elimu ya kutosha ama awe amemrithi kutoka kwa baba yake mzazi tu pekeyake.
Lakini hili ni tabaka la majinni ambalo hupatikana kwa wanaume mno ni jinni ambae anaheshimu taratibu zake anaweza kukuhama ama kuindoka kwa mda mrefu kwa kukosana kwa kitu kidogo mno si muongeaji sana anapenda kazi zake kuzifanya mwenyewe kwa ujumla hupendelea kumtokea mtu katika umbile la kibinaadamu moja kwa moja na kuingea nae kama mtu wa mawaida.
Huweza kufanya kazi mchanganyiko na ana njia nyingi za tiba na kafara za matibabu pia mda mwingine hupenda kuchinja kondoo mwekundu ama mweusi mwenye  baka jeupe.
Huleta taarifa katika mda husika na anaweza kutokea popote hata kama hakuana utulivu wa kusho.
Anajua tiba ya miti na kitabu.
Hupendelea kutumia sahani ya kioo katika kuandika tiba zake.
Mda mwingine hutumia mishumaa zaidi.

Kwa maswali na ushauri.

+255717108210

+255685566362.


Saturday, May 14, 2022

Ndoto ya Tunda.

Mtu kuota anapewa tunda linalo liwa na binaadamu anapewa kwa taadhima na ustaarabu wa kibinaadamu si kwakurushiwa.

#basi ndoto hiyo ni ishara ya kwamba muotaji wa ndoto hiyo atapata faraja juu ya kipindi kigumu alicho pitia kutokana na ugumu wa kipato.

#pia ina ashiria kupata rafiki kutoka  mbali usie mtarajia ambye atakupa mipango ya kimaisha na kufaidika kupitia yeye.

#Ama kama kunakitu ulipoteza unaweza ukakiona ama kukipata kabisaa.

MUNGU NDIE MJUZI ZAIDI WA YOOTE.

+255695566362

+255717108210

MSOLO RAJABU YUSUFU.


NDOTO YA KUOTA SHILINGI YA ZAMANI.

#Ikitokea mtu mbaye ana dhiki kiasi amefungika shughuli zake kwa muda akaja akaota usiku anapewa pesha aina ya shilingi nyeupe ya zamani ambayo kwa muda alio kuwa nao haitumiki.

:-#basi ni ishara kuwa mtu huyo yupo njiani kupata faraja na kufungukiwa na shughuli zake muda si mrefu.
pia atapata taarifa kwa watu wake wa mbali walio kuwa wamekata ama kupoteza mawasiliano.

+255685566362

+255717108210

usradh,.          msolo rajabu yusufu.


NDOTO YA KUOTA Kutembea uchi.

Kwa mtu ambaye ameota anatembea uchi barabarani na akiwa na akili timamu wala hajatoka kwenye ugomvi ulio sababisha kutokuwa na nguo.

#basi ni ishara kwamba mtu huyo.
:-ata pata dhiki na ugumu katika shughuli zake kwa takribani miezi minane(8).
atakuwa ambaye riziki ya kula napata kimazabemazabe lakini kupanga mipango yake na watu itakwama kwa muda kiasi.
pamoja na mgongano na mke ama mume.

+255685566362

+255717108210

msolo rajabu yusufu.


Friday, May 13, 2022

NDOTO ZA kuota mazoezi.

kwa mtu mzima alie barehe na kuanza kujitegema katika harakati za kimaisha ikitokea katika usingizi wake wa usiku wa manane anaota anafanya mazoezi ya kuweka mwali sawa iwe ni mazoezi ya ngumi ama mpira  ama mazoezi yoyote lakini awe anafanya kwa hiyari yake na hapati maumivu.

basi ndoto hii ita ashiria kwamba

mtu huyo atqfungukana mambo yake na kama alikuwa mgonjwa kalazwa pasi atapona upesi na kuruhusiwa mapa
Nakama mahusiano yake yapikuwa hayaja kaa sawa basi yatakuwa sawa atatulia.

+255685566362

+255717108210.

msolo rajabu yusufu.


NDOTO YA KUOTA Bahari.

Mtu anapo ota yupo baharini ana chezea maji kwa furaha ana kwenye kina kilefu pasi na kuzama ana ogelea anavyo taka na kwa speed kubwa wala hakuna madhara yoyote kwake.
basi ni ishara kwamba muotaji.

#Atafungukiwa na mali pia atajawa na faraja kubwa na mipango yake mingi inaweza kutekelezeka upesi na kufanya jambo ambalo litakuwa lenye kubaki kama kumbukumbu.

+255685566362

+255717108210

Msolo rajabu yusufu.


NDOTO YA Kushangawa na watu.

Ikitokea mwana ume ama mwanamke anaota anapita njiani ama anatoke sehemu amboyo watu wengi wamekaa kama wapo shughulini ama kwenye kikao kisha yeye wakawa wanamshangaa ama wamepatwa na butwaa baana ya yeye kutokea.

ni ishara wazi kwamba ndoto huyo inamuashiria muotaji.

#Atapata maradhi ya ghafla na yata msumbua kipindi kirefu kinacho weza kufika miezi nane(8).

+255685566362

+255717108210

sayariyatiba.blogspot.com


KUOTA KUFANYA MAPENZI NA MAREHEMU.
SAYARI YA TIBA - 09:07

#Ndoto ya mtu kufanya mapenzi na myu alie kufa ikiwa mwanaume anafanya mapenzi na manamke alie fariki.

#ama mwanamke kufanya mapemzi na mwanaume alie kwisha fariki.
basi ndoto hiyo inaishara ya kwamba mtu huyo atapata taarifa mbaya na yakushtusha moyo pia atapata matatizo ya mikosi na kufukuzwa kazi ama kunyang'anywa mali yake anayoitegemea kuingizia lipato pamoja na kudhulumiwa mali.

+255685566362

watts up +255717108210

msolo rajabu yusufu.

NDOTO YA KUOTA mafuriko.

mtu wa jinsia yoyote ikitokea ameota anasomba na maji yaafuriko nankupelekwa sehemu yanapo eleke maji.
Ama akaota mafuriko yameingia ndani ya chumba chake na mbaka thamani zake za ndani zika vurugika basi ndoto hiyo ina ashiria kwamba.

#Muotaja ataharibikiwa na mambo yake lakini ajihadhari sana na maneno ya umbea na ugomvi kwani mbele yake kuna dalili ya kupigwa kipigo na mtu aidha atake mjua ama asie mjua njiani.
pia anaweza kusimamishwa kazi kwa kosa asilo litenda na kushtakiwa.

+255717108210

+255685566362  


NDOTO YA Kuchezea utupu(uchi).

Ikitokea mwana ume anaota anachezea uchi wa mtoto mdogo na hata kama anataka kufanya mapenzi na mtoto mdogo ambae mbaka inapelekea maumbile yake kushindwa kuingia ama yakaingia lalini ni kwa shida basi tambua ya kwamba ndoto hiyo ina ashiria kwamba.

#Muotaji wa kiume atapata dhuliki ya muda mrefu kiasi cha kupoteza mali na kifa kwa mipango yake mingi kadhaalika huweza kukimbiwa na mke ama mpezi wake.
ni mtu ambae atakubwa na huzuni na masikitiko ya mara kwa mara.

+255685566362

+255717108210

Msolo rajabu yusufu.


NDOTO YA Mwana mke alie olewa.

#Kwa mwana mke alie olewa yupo ndani ya ndoa tayari ikitokea ameota anafanya mapenzi na mwanamke mwenzie.

basi ndoto hiyo inaishara ya kwamba mwanamke huyo ajihadhari sana maana muda wowote kutokea hapo itapatikana sababu ya yeye kuachwa na mumenwake.
pia kugombana na kutengama na baadhi ya marafili zake.

+255685566362

+255717108210

msolo rajabu yusufu.


NDOTO YA KUINA Mbingu/anga imetoboka.

#ikitokea mtu katika usingizi wake amepata kuona mbingu/anga ya juu imetoboka basi hiyo ni kwake ina muashiria muotaji kwamba.

#mtu ambae atapata matatizo pia anaweza kufiwa na mtoto ama mke siku si nyingi.

+255685566362

+255717108210

Msolo rajabu yusufu.


NDOTO YA Kufanya mapenzi na mzazi.

#Ikitokea mtu akaota anafanya mapenzi na mzazi wake mwana ume kufanya mapenzi na mama yake mzazi ama.
mwana mke kufanya mapenzi na baba yake mzazi.

#Basi tambua ndoto hiyo inaishara ya kwamba mtu huyo atapata bahati ya kupata mali na kufungukiwa shughuli zake pamoja na kupata faraja kipindi si kirefu.

atajisikia ni mtu mwenye amani na kama yupo jela basi atatolewa nje.

+255685566362

+255717108210

msolo rajabu yusufu.



Thursday, May 12, 2022

NDOTO ZA Kuota kupaa.

#KUPAA.
:-#Mtu anapo ota anapaa angani huku akiwa katika hali ya furaha na mwenye amani.na mbaka mwisho wa ndoto yake isionyeshe kuwa ana anguka kutoka juu na akiwa na hofu na mashaka ya kuumia kutokana na kuanguka kwake basi tambua.

:-#Ni ishara ya kwamba mtu huyo atapata bahati kubwa na kufungukana katika shughulizake za kifedha.

:-#Dua yake anatakiwa asome suuratil waaqiya mara kwa mara.

+255685566362

watts up   +255717108210.

ustadh,     msolo rajabu yusufu.


NDOTO YA Kuota kuwa na watu maarufu.


#Ndoto.

:-#kuota mtu anaongea ama anafanya matembezi amakufanya mazungumzo ya kimipango ya kimaisha na watu ama mtu maarufu sana duniani alie kuwa yupo hai .
basi tambua ndoto hoyo ina ashiria kwba muotaji atapata dhiki itakayo muandama kwa muda mrefu kiasi dhiki hiyo itamfanya kuwa mtu ambae kama nyota yake imefunikwa wala hakutakuwa na dalili ya kupata msaada kwake pia atakuwa ni mtu mwenye kupatwa na uvivu mkubwa kupita kiasi wa kutumia dawa pamoja na kutaka kujiagua.

:-#Dua yake mtu huyo ana takiwa asomewe kisomo kikubwa cha kuondoa balaa kisomo hicho kiambatane na kutoa swadaka ya mnyama aina ya kondoo kisha igaiwe kwa mafungu yasiyo pungua saba kupewa watu wa familia tofauti.

+255685566362

watts up   +255717108210.

ustadh,

msolo rajabu yusufu.

Monday, May 9, 2022

NDOTO NA KAFARA ZAKE.


#SIRI ZA NDOTO.

#Ndoto ni ishara ya ujumbe wa siri ambao mtu huupata kupitia usingizi.(njozi).
ndoto ni ujumbe ambao unatoa taarifa kwa mtu kuhusiana na mambo mengi yanayo muhusu mtu mwenyewe ama kwa watu wa familia yake unao julisha mambo kadha wakadha.

#Ndoto huweza kutoa taarifa kwa mtu juu ya tukio linalo taka kutokea baadae na hata kuku juza jambo ambalo lilifanyika kipitndi kilicho pita ambapo tukio lake lilifichika ama lilikuwa na utata ama usiri hivyo mtu huweza kupata taarifa zake kupitia ndoto/njozi.

Ndoto zime gawanyika katika sehemu mbili.
(a)#ndoto za kiroho(kutoka kwa mungu)
(b)#ndoto za kijinni.

A-#Ndoto za kiroho.
hizi mi ndoto ambazo huwa ni taarifa moja kwa moja mungu humfunulia mja wake juu ya jambo ambali halija tokea na uotaji wa njozi hizi hua mtu huota njozi na tukio litakavyo kuja kutokea huwa ni vile vile alivyo ota hata kama tukio litakuja kutokea baada ya kiaka kadhaa.

B-#Ndoto za kijinni.
hizi ni njozi ambazo mtu anaota lakini taarifa ya jambo lenyewe huwa linaweza kuwa ni kinyume chake ama linaweza kuwa ni jambo lilelile lakini kwa mtu tofauti.

#mfano mtu anaota anafiwa na mwanae lakini hafi mtoto wake wa kumzaa isipo kuwa atakufa wa jirani yake.
ama anaota kufariki wa jirani yake anaoifa wa kwake.
#Katika swala zima la kujua siri za maana za ndoto huwa kunazingatiwa vitu vifuatavyo.

1-muotaji alikiwa katika mazingira gani?.
2-ameota kitu gani?.
3-katika hiyo ndoto amekiona kitu gani?.
4-kitu hicho kilikuwa katika sehemu gani mazingira gani naboipikuwa kina fanya nini?.
5-Ndoto imeotwa majira gani/saa ngapi?.

+255685566362

+255717108210


#kwa kuzipata taarifa hizo zote happ itaweza kujulikana maana na siri halisi ya  ndoto/njozi hiyo.

#zifuatazo ni aina ya njozi/ndoto na tafsiri/maana zake.

1-#mtu alie maliza shule kuota yupo shule anafanya mtihani na ana feli.

-:#hii ina maamisha mtu huyo atapata dhiki katika kipindi kinacho kija mbele yake na tabu huyo haisababishwai nankurogwa na mtu ni. mtihani tu kutoka kwa mungu.

#Dua yake kubwa anatakiwa mtu afanye  isighfar nyingi (yaani afanye uradi wa kusema #Astagh-firu llah) kwa wingi sana.

2-mtu kuota ana kimbizwa na watu asio wajua wakiwa na vitu vyenye ncha kali.
:-mtu huyu ni ishara ya kufanyiwa uwadui wa iukusudiwa na watu.

#Dua yake asome sana suuratil falaqi ama suuratil tawba.

3-#mtu kuota analia usingizini bila ya sababu.

:-Ni ishara ya mtu kusibiwa majinni ya kukumba sehemu za maji ama katika sehemu za miti mikubwa wamemkumba bahati mbaya.

#Dua yake asome suuratil haashir na suuratil Rrahman.

4-#Kuota unakula nyama mara kwa mara.
:-Ni ishara ya mtu kwamba anafatwa na washirikina na wanga 
wanga hao wananguvu na wanaweza kumtoa na kumchezea mda wowote  mahala popote ni mtu ambae wanahitaji kumuingiza  uchawini.

#Dua yake asome suurat raadi na suurat yaasin.

5-#Kuota unasombwa  na maji ama lutumbikia ndani ya maji.

:-ni ishara ya kuharibikiwa mambo ya kimaisha na mipango ya kimaendeleo. sababu yake huwa ni mtu kutawaliwa na majinni wachafu mwilini mwake ndio wanao mtia nuksi na kiharibu harakati zake.

#Dua yale asome sura hizi suurat dhaariyati,suurat almutwafifiyna.suurat alburuuji,suurati twaarik,suurat shamsi,tiyni,suurat waal aswir.

6-#kuota kufunga ndoa kwa mtu ambaye hayupo katika  kipindi cha kukaribia kifunga ndoa mara kwa mara.
:-Ishara ya mtu kuandamwa nanmajinni mahaba ambao wamesha jidhatiti vya kutoshakwa mtu huyo.

#Dua yake asomewe suurat yaasin a suuratil jinni.

7-#kuota unaokota pesa za coin basi ni ishara ya kufarijika katika kipindi kifupi na kupata taarifa nyingi za bahati.

8-#Kuota unasafisha kinyesi(mavi)

:-Ni ishara ya kupata fedha kwa njia usio itarajia na kupata faraja kwa mtu usie mtegemea ulie kuwa hujuani nae.
#Dua yake soma suuratil waagiya.

+255685566362

+255717108210

9-#mwana ume kuota anachezea uchi wa mwanamke alie kuwa mkubwa sio mara kwa mara.

:-ni ishara ya kupata faraja na fedha na kupata mali ambayo itakuwa ina athari ya kudumu.

#Dua yake asome suurat nash-raha.

10-#mwanaume kumuingilia kinyume na maumbile mwanaume mwenzie.

:-ni ishara ya kupatwa nanmajonzi makubwa  na masikitiko pamoja na kupoteza mali kiasi kikubwa.

#Dua yake asome sana LAAILAAHA ILLA LLAHU.

11-#Kuota mtu alie kufa amekufa watu wanafanya maamdalizi ya kumzika ilhali alisha kufaga mda mrefu.

:-Ni ishara ya kupata faraja na kufungua biashara mpya na kupata kazi nyingine pia kupata mawazo mazuri kutoka kwa mtu mwingine.

#Dua yake asome sana jina la mungu YAA RAZZAQU.

12-#KUOTA mtu ana chapwa na bakora na marehemu lakini haimuumi anampiga kama kwa utani ama anapita mbali na yeye na anamuita haitiki.

:-Ni ishara ya mtu kutaka kuharibikiwa mambo lakini atapata msukosuko katika jambo fulani kisha atafanikiwa kwa ugumu na tabu.

#Dua yake atoe sadaka ya chakula na kusoma suuratil IKH-LASWI.

#Si busara kupenda kuhadithia ndoto zako kwa kila mtu kwani kuna watu wakizijua ndoto zako huweza kukufanyia hasada kama kuna neema ulitakiwa kuipata wakaanza kukufanyia shirki na vitimbwi ilimradi neema hiyo iharibike.

hadithia kwa watu maalumu tu na majibu yako kubakinayo mwenyewe moyoni ili kuepuka hasadi na vijicho vya mahasidi.

#hivyo ni vyema ukajua mapema ndoto yako inakuashiria ishara gani kwa kwa kujua jambo mapema huwa kujianda kiakili jinsi ya kukabiliana nalo jambo hilo.

+255685566362

watts up.

+255717108210

msolo rajabu yusufu.
https://fb.watch/cTA08SEpgK/

Saturday, April 30, 2022

#WADHIFA.

#WADHFA NI NINI?

#Wadhfa ni hali ya mtu kuwa na nafasi fulani katika mahala pakazi ama uongozi katika mahala fulani.

#watu wengi wamekuwa wakihangaika katika kutafuta vyeo ama nafasi za juu katika maeneo mbali mbali ya shughuli zao pasi na matokeo mazuri.

Pasi na kujua ni nini kifanyike ili waweze kufanikiwa kupata nyazifa hizo.



#LAKINI JE MTU ANAWEZA KUPATA NYAZIFA?

#Ndio:-ndio mtu anaweza kupata nyazifa mahala mahala anapo taka na hata asipo tarajia.
 
Wengi wamekuwa wakifanyiwa mambo mengi ,dawa nyingi na hata visomo vingi lakini kutopata matokeo mazuri pasi na kujua ni kwanini inakuwa hivyo.

Wengi wamekuwa wakichanganya kati ya mtu kufunguliwa na mtu kupandishwa cheo/wadhifa hivi ni vitu viwili tofauti.

 #kwani kila kimoja na kazi yake  ingawaje waganga wengi pia huchanganya na kusema wana wapandisha watu nyota hali yakuwa kumbe wana wafungua tu na kudhani wamemaliza kazi.

+255685566362

+255717108210

#Kitaalamu mtu mwenye kufunguliwa huwa hufanyiwa kazi yake kwa siku yake ama kwa nyota ya mapato yake ama malizake.

#Lakini tunapo zungumzia swala la mtu kupandishwa cheo ama nyota au wadhifa hapa ndipo elimu ilipo jificha na ndipo wanapo hangaikia watu wengi.

Kitaalamu swala la kupandishwa nyota /cheo na wadhifa hapa Hatu angalii siku ya nyota ya mtu inapo tawala katika siku yake wala nyota ya mali yake.

Kwani nyita ya cheo/wadhifa ama ni nyota kubwa kuliko hizo za mali na nyota za nafsi ambazo ni zautawala wa siku kwa kila mtu.

#Tunapo taka kupandisha mtu nyota IMA hadhi ama cheo  ni lazima kwanza kujua masaa manner(4) muhimu ambayo ndio yana husika na mambo yote katika maswala mazima ya upandishaji mtu nyota ama cheo ambazo miongoni mwazo huitwa saa-atul ijaba.

Nasiku  zake katika wiki nzima ni tatu (3) peke yake ndizo zenye kuhusika na kupandishwa nyota cheo na wadhifa ama hadhi.

Yatakapo zingatiwa mambo hayo ikiwemo na mengine basi mtu ataona mabadiliko baina take yeye na watu wengine wa kawaida.
Kwani hafanani mtu alie fubguliwa na yule ambae amefanyiwa kazi ya kupandishwa nyota /hadhi kwani hiyo ni stage ya juu katika maswala ya nyota na wenye kutafuta vyeo.

+255685566362

+255717108210

#Hapo ndipo utakuta mtu anakuja angali mgeni katika ofisi ama sehemu Fulani lakini hupewa usimamizi wa ngazi za juu hata kama asiwe ni wa muda mrefu mahali hapo ama ni mzoefu wa shughuli inayo fanyika mahali husika.

Swala hili ni la kitaalamu zaidi na lina hitaji elimu ya kukaa chini na si  ya kuitoa google ya Ku copy and pest.
Kwani ni lazima uwe ni mwenye elimu na si kukurupuka.

Na nilazima kuchunga mazingira yake kwani kuna ishara ambazo zikiwepo kabla hata ya kuanza kazi hiyo basi siku hiyo haifai tena kufanya kazi hiyo ni lazima kuzijua ishara hizo kwanza kabla ya kufanya jambo hilo ikiwemo 

1)#kuchunga idadi ya watu.

2)#Aina ya watu wanao takiwa kuwepo ikiwemo mama Mzazi na so watoto yatima kama wengi ambavyo hufanya.

3)#vifaa kamili.

4)#hatua zake kuu tank(5) zifatwe.

5)#mchanga.

#Ni lazima kuchunga nyakati pamoja na ishara zisizo paswa kuwepo wakati wa kufanya shughuli hio.
Kwani siku hizo ni siku zenye sili kubwa pamoja na masaa yake kwa kumtumia malaika wake anae kuwa ni maalum kwa kufanya na kusimamia kazi hiyo.

+255685566362

+255717108210

#NYOTA YA NDOA YAKO.

#NYOTA YA NDOA YAKO.

#Watu wengi wamekuwa wakiukiza maswali kwa waganga wengi kwenye mitandao kuhusu nyotaza herufi zao na kutaka kujua kupitia herufi za mwanzo WA majina yao ama tarehe zao za kuliwa.

:-#Watu wamekuwa wakipewa majibu lakini wengine wamejikuta wakiingia katika ndoa lakini bado tafarani wasizo zitarajia na mambo kuharibika yamekuwa yakitokea pasi na kujua ni nini chanzo.

#Watu wengi wamekuwa waki zoea kujua nyota kwa kupitia kwenye mitandao wakizisoma kupitia miezi yao ya kuzaliwa pamoja na tarehe ama wengine kwa kupitia herufi za mwanzo wa majiana yao.
 
+255621193048

+255717108210

Wengi wamekuwa wakiamini hivyo lakini leo cha kuwashangaza nawaambia na huu ndio ukweli na ndio uhakika ya kwamba njia hizo si sahihi wanachuoni na wataalamu wandani zaidi wala njia hizo hawaja zipitisha ufasaha wake na ndio maana ukisoma Vitabu vyote vya kale vya elimu ya kifalakia njia hizo wameikataa kwani haina mashiko yaliyo na uhakika Zaidi.

#NOTE :-Kwanza narudia tena kusema nyota zinazo tumika katika fani hii ya elimu ya kifalakia pamoja na unajimu hazipo kumi na mbili  (12) kama mlivyo karirishwa ambazo ni.

#1-punda   #2-ng'ombe   #3-mapacha  
 #4-kaa   5-#simba  6-#mashuke   
7-#mizani   8-#nge   9-#mshale  
10- #mbuzi   11-#ndoo   12-#samaki/chewa.
 
+255685566362



+255717108210

Hapana narudia tena hapana si kweli bali nyota zenyewe ni saba pekeyake (#7) ambazo ni.

1-#Kamari   2-#utwaridi   3-#zuhura 

4-#shemsi   5-#mirihi   6-#muahtara    7-#zohali.

#NOTE hizo ndio nyota zinazo kuwa na  mzunguuko kupita katika njia hizo 12  ambazo ndio hutupatia hukumu na ufumbuzi wa kuyajua mambo yaliyo fichikana kwa mahusiano na mwanaadamu na dunia kwa ujumla.
 
#ANGALIZO ASIE ELEWA AULIZE NA ANAE TAKA KUBISHA AJE NA DALILI PAMOJA NA KAULI YENYE MASHIKO NA UELEZE UMEITOA KWENYE KITABU GANI   SITAKI KUONGEA KIKASUKU NATAKA KIBINGWA.

TUNAENDELEA.

#Katika kujua nyota ya mtu wanachuoni na wataalamu ambao ni mabingwa WA elimu ya falaki na unajimu wamekubaliana kuzitambua nyota za watu kwa kutumia njia ya hesabu ambazo ni hesabu za
 #ABJEDIA.

+255685566362

+255717108210

Ambazo zimepewa namba kutokana na mizani ya herufi  zikapewa namba kwa vigawanyo viwili ambavyo ni  (a) jimla ya asili. (b) jumla kubwa.

Katika kujua nyota ya mtu hutumika jumla ya kawaida ya asili na katika kujua maswala ya ndoa hapa ndipo hutumika jumla kubwa.

#Njia ya kwanza ni kuchukua hesabu ya jina lamtu pamoja na la mama yake na kugawa kwa kumi na mbili  (12).

Njia ya pili unaweza kuchukua jina moja tu la mtu pasi na lamama yake na kugawa kwa kumi na mbili (12). 
Na namba itakayo bakia ndio itakuwa inawakilisha njiaya ya mtu huyo ambazo huitwa kiarabu #BURUJI  na kwa kingereza hujulikana kama #ORBIT.

+255685566362

+255717108210

#AMBAZO  
1-# PUNDA      2-#NG'OMBE  3-#MAPACHA  4-#KAA  5-#SIMBA  6-#MASHUKE  7-#MIZANI  8-#NGE  9-#MSHALE  10-#MBUZI  11-#NDOO  12-#SAMAKI.
 Hizi ndio kauli na ndio maandishi kuu za maneno ya wataalamu na mabingwa wa kifalakia duniani.

#Katika swala la  ndoa ili mtu aweze kukaa vizuri katika ndoa ni lazima kuchunga vitu vikuu vinne  (4).

(1)#muafikiano wa tabia za njia/mlivyo zoea nyota mbili yaani ya muoaji na yamuolewaji.

(2)#muunganiko wao unaangukia katika iktirani gani?

(3)#MANZIL nzuri yaani hapa panatakiwa kujua mwezi na jua vipo katika manzil(kituo) gani na kipo hapo katika tarehe gani kwani pia katika kila mwezi kuna siku  kumi (10) za nuksi mano wake kila tarehe 13 na 25 haijalishi imeangukia siku gani iwe hata ijumaa ama alhamisi basi sikuhizo ndani yake ni siku ya nuksi hivyo inatakiwa kuangalia manzil nzuri.

(4)kuchunga siku na SAA nzuri ya kufungia ndoa hiyo.

+255685566362

+255717108210

#NOTE ili uwezekujua nani anakufaa katika ndoa ni lazima kuangalia kwa njia hizo na ndio fasaha na yakibingwa na wataalamu wote na mabingwa wa kifalakia hupita njia hizo.
 
Kuangalia kwa njia nyingine yoyote ni uongo na  wake ni ku feil tu hakuna zaidi. 

Maswali luksa ukitaka kubisha uje na hoja yenye mashiko kuongea kikasuku na kimazoea sitaki.

+255685566362

+255717108210

#NYOTA ZENYE NGUVU.

Zifahamu nyota zenye nguvu.

#Binaadamu tumeumbiwa vitu mbali mbali hapa ulimwwnguni ambavyo vinatusaidia kundeshea maisha katika sayari hii ya dunia.

#Vipo vitu ambavyo tunakazi navyo moja kwa moja yaani vitu am avyo kila mmoja anapozaliwa anajua umuhimu wa kitu fulani kuwa ni nini.
-#Mfano : maji kilamtu anatambua umuhimu na kazi za maji hata waswahili husema msemo wao "mimi ni kama maji usipo nioga utaninywa."hii yote ni kuonyesha kwamba haji ni kitumuhimu kwa binaadamu.

+255685566362


+255717108210

#Mungu ametuumba watu wote kiasili tunatokana na baba mmoja ambae ni aadamu na mama yetu ambaye ni hawaa.

#Lakini baada ya kuzaliana tukawa wengi basi pia mungu akatujaalia utambuzi wa vitu mbalimbali kila mtu kujua kitu maalumu na elimu maalumu ingawaje wapo ambao huwa na uwezo mdogo katika kuelewa mambo yanayo yuzunguuka na wapo ambao wana upeo mpana nasa.(watu wenye vipaji).

#Watu tulivyo umbwa pia tuna tofautiana tabia na hulka za vitu tofauti na uimara wa baadhi ya watu na utendaji wao kazi zako katika mambo mbalimbali.

#Hii yote hutokana na mgawanyiko wa nyota zinazo tutawala wanaadamu ndio hupelekea watu kutofautiana tabia na uwezo wa kufanya mambo na maamuzi ya mambo tofauti tofauti.

#Nyota hizi zinazo tuta wala wanaadamu zipo ambazo (1)zinanguvu(imara)(2) zenye uwezo wa kati(za kawaida uwezo wa kati na kati.(3)zenye uwezo  mdogo (dhaifu).
Miongoni mwa nyota zenye nguvu ni zile ambazo huanzia na herufi d, j,z,w,y,a,t,b,h,o,q,

Nyota za kati ni zinazo anzia na herufi,k,L,n,s,f,m,i,p,

Nyita zilizo zaifu ni zile zinazo anzia na herufi, R,z,x,c,u,e,g,v.Watu wenye nyota zenye nguvu watu hawa ni wale ambao huweza kujisimamia katika mambo yao iikamilifu,si waoga ,juwa na uwezo wa kujieleza,niwepesi kuifadhi kumbukumbu na kuelewa kitu mapema, huweza kusimamia biashara zao wenyewe na hata kuajiliwa pia bado huwea kufanya kazi bila shaka yotote, hupenda kujiona hata wao wenyewe,na wanauwezo wa kuanzisha kitu ama biashara  na ikawa yenye kuwndelea.
Watu wenye uwezo wa kati watu hawa ni qatu ambao wana uelewa wa kawaida, wanapo taka kufanya jambo mbaka wapate msukumo ama ushawishi kutoka kwa mtu mwingine, hawezi kusimamia jambo lake moja kwa moja isipo kuwa litakuwa na kukwamakwama, ni  waoga kidogo kufanya maamuzi ya upesi,wanapo ajiliwa hufanya kazi kwa uwezo mkubwa kuliko zakwao wenyewe, hawapendi sana masihara na watu, niwatu ambao huridhika na vile wanavyo vipata, ni wenye mipango mingi sana lakini ufanikishaji ni hafifu.

+255717108210
+255685566362

#Watu wenye nyota dhaifu hawa ni wale ambao nyota zao wazina uwezo wa kujitegemea isipo kuwa pawe na nyota saidizi ya kuiinua na kufanya kazi,maranyingi watu hawa huwa wavivu kufanya kazi,huchelewa kuamka kwa kupenda kulala,hanatamani kupata kitu na wakipata hupuuzia mara moja, ni watu ambao hawawezi kusimamia mambo yao wwnyewe,ni watu ambao hata wakiajiliwa bado wapate usimamizi,hawajiamini,huwa ni wakimya mno.hawaoendi makelele kwani hata kuongea kwao ni taratibu sana,

#Hivyo basi kwa watu ambao wana ewezo wa kati wanakltakiwa kuinua nyota zao na kuzifanya kuwa madhubuti kwa kufanya hivyo huweza na mambo kuwa sawa, nakwa wale wenye nyota dhaifu inabidi zijazwe na kuzipa msaada ili mambo yaweze kwenda sawa,

+255717108210

+255685566362.

#MAJANI YA MDIMU.

#FAIDA YA MAJANI YA MDIMU.
Mdimu ni mti maarufu unaojuli na watu wwnga haswa kwa ajili ya matunda yake yajulikanayo kwa jina maarufu la #NDIMU.

Ndimu ni tunda maarufu sana ambalo lina kazi nyika katika matumizi ya binaadamu wengi wa watu huitumia kama ni kiungo cha kunogesha katika #mahanjumati yao .

#Lakini hapa tuna zungumzia faida ipatikanayo katika majani ya mdimu wenyewe tofauti na ndimu zenyewe ambazo nazo habari zake ni nzito na ni ndefu kwa mapana yake.

+255685566362

+255717108210

*#Katika kutambua faida ya #MAJANI ya mdimu hapa tuna yazungumzia katika swala zima la kutoa #NUKSI kwa wale ambao wana jihisi mambo yao hayaendi kutokana na kukumbwa na upepo mbaya wa nuksi.

Kwa mwenye kujitambua hivyo ambae nuksi yake hiyo si yakusababishwa na 

a)-#jinni alie tayari yupo ndani ya kiwiliwili chake, 

b)-#uchawi kabisa ambao anaujua kutoka na na mazingira yake.

C)-#hana vinyongo kutoka kwa wazazi  wake wote wawili.

+255685566362

+255717108210

d)-#hana chale za kichawi ama muhuli kabisa.

e)-#nyota yake haijaingia katika nuksi ya mwezi.

Kwa yule ambae atakuwa hana hayo yote na ana nuksi tu yakawaida (kaikumba njiani) aidha alipita mahala ambapo watu wametoka kutupa makafara yao. 

1-#Chukua majani mia moja ishirini na tatu(123) changanya na majani ya mchaichai kiasi cha mafunda moja na nusu ama mawili kulingana na ukumbwa wa mkono wa mtu.

Weka kwenye sufuria ya wastani wa kilo mbili(2kg) jaza maji mengi chemsha mbaka ichemke kabisa isiifunike.

+255685566362



+255717108210

Ikisha chemka vizuri si kiasi cha mbaka ianze kukauka ipua iweke mahali utakuwa unaioga kutwa Mara mbili (asubuhi na jioni) kwa muda wa siku tano peke yake.

Ukiwa na nia moja tu na Mara zote unapo kwenda kuioga nia ni muhimu kuifanya na siku ya sita na saba kila siku utawasha mshumaa mmoja mweupe asubuhi kabla jua halija simama sawa sawa yaani kabla wekundu kupotea.

Uta uwasha kwa manuizi maalumu na uta uacha uwake mbaka uishe wenyewe siku zote mbili.

+255685566362

+255717108210

Baada ya hapo kwa uwezo wa maulana ataleta kheri zake na hiyo shida ya huo upepo wa nuksi utakuwa umesha ondoka na kila kitu kitakuwa sawa.

2-#chukua majani ya mdimu pekee kisha yaponde yakaushe kisha yasage unga utakao upata utatumia kuutia kwenye maji na kuoga kwa muda wa siku kumi na moja( 11) mfululizo bila kukosa siku kwa manuizi.

Na huku ukiwa unatumia kunywa kwenye uji ama maji ya moto unga huo ukiwa umechanganya na unga wa uwatu na mjafari. 
 
Kwa maswali yoyote.

+255685566362

+255717108310