#CHUMVI/SALT UNAITUMIAJE?.
#chumvi ni kitu chenye ladha fluni ambayo inaleta utamua wa aina yake katika chakula kinacho tumiwa na binaadamu na hata kwa baadhi ya vyakula vya wanyama.
#chumvia huweza kupatikana kwa njia mbili kuu .
1-#hupatikana kwa njia ya kuchimbwa chini kama aina flani ya madini ambao hua ni mwamba asili wa chumvi.
2-#hupatikana pia kwa njia ya maji.
Kupatikana kwa njia ya maji ni pale yanapo chukuliwa majini yenye asili ya radha ya chumvi Kali kisha hukauswa jikoni ama kwa kuachwa maji hayo kiutaalamu kwa muda na baadae huwa inatokea chumvi kamili.
+255717108210
+255685566362
#Latini hapa tuta zungumzia chumvi zinapo patikana kwa sina moja tu ambayo ni #CHUMVI YA KUCHIMBWA.
Chumvi hizi za kuchimbwa zipo za rangi tofauti lakini sana zipo rangi NNE(4).
1-#Rangi nyeupe.
2-#rangi ya blue.
3-#rangi nyeusi.
4-#CHUMVI YA INDIA.#hii moja si nyeupe kabisa moja kwa moja na huwa inakuwa inawekundu ndani yake ambayo ukiangalia kwa wepesi unaweza kujua ni jiwe tu ambalo linatoka kwenye sina flani ya mwamba.
Chumvi hizi zote huliwa ingawaje watu wamezizoea sana aina mbili (1 na 4) yaani hiyo nyeupa na hiyo ambayo ina yiko wa nyekundu na weupe.
#SASA HAPA TUTAJIFUNZA KAZI ZA CHUMVI NJE NAKULIWA KWENYE CHAKULA.
Chumvi ni madini ambayo yana kazi nyingi pia katika maisha na mazingira ya mwanaadamu.
1-#chumvi ya blue.
#hii ni chumvi ambayo inanguvu zaidi ikitumika katika dawa za kuondoa maradhi yaliyopo ndani ya mwili wa binaadamu yale ya kimwili na yakiroho.
+255717102810
+255685566362
#Kama vile huweza kuyumiaka katika dawa za kukausha vidonda ama maradhi ya mishipa.
Ama kuchanganya kwenye maradhi ya majini na #sihiri ya kijini na si #sihiri ya kichawi.
Kwa kuchanganya na #majani ya mdimu, #mchaichai kidogo na #ubani jawi/(#uvumba) #mavi ya farasi na ngozi ya ngamia.
2-#Chumvi nyeusi .
#hii hutumika sana kwa kazi za kufungia miji na dawa za watoto wadogo wanao sumbuliwa usiku aidha na wachawi ama majini wabaya waliopo katika miili ya mama zao.
3-#chumvi ya rangi nyekundu na nyeupe ya kufifia ama wengi huifahamu kama #chumvi ya #INDIA. Chumvi hii pia inakazi nyingi tofauti lakini hii ni chumvi ambayo inanguvu mno katika DAWA zinazo husiana na mambo ya kibiashara na mvuto wa kuvuta watu wenye kipato kikubwa.
+255717108210
+255685566362
4-#CHUMVI NYEUPE.
#hii ndio chumvi yenye kazi nyingi mno kuliko chumvi zote hii ndio chumvi ambayo huweza kutumia katika kazi zote yaani za Shari kwa maana ya kufanya kazi za kudhuru na kuharibu jambo la mtu. ama kazi zake za kiuchumi na hata huweza kufanya kazi za kheri kwa maana kufanya mambo ambayo ni yenye kheri na kwa kutafuta mambo mazuri mazuri yasio kuwa na ufisidi.
#KAZI ZA CHUMVI NYEUPE YA MAWE.
1-#KUMFUNGA ADUI.
#Endapo mtu atakuwa abadui yake ambaye anamkera ama ana mtafuta kwa Shari kubwa na unataka kumfata hadi nyumbani kwake kwashari hiyo basi.
#mtu huyo anaweza kuichukua chumvi hiyo kwa ujazo wa konzi moja na kuitia katika chungu kilicho asiwa kupikiwa na kutia maji kwa manuwizi kisha akayaacha majaipasi na kuikoroga mbaka kila chumvi kuyayuka yote.
#Na baada ya hapo aka imwagamwaga kuizilunguuka nyumbani yake kwa manuwizi ya kukusudia adui huyo asikanyage nyumbani hapo.
Basi adui yule atapata uzito utakao mfanya ashindwe kuja kuingia mahala hao.
+255717108210
+255685566362
2-#KUMUADHIBU ADUI.
#Kama imetokea mtu na mwenzake walichanga msingi kwa lengo la kufanya biashara flani na ikafanyika lakini baadae mmoja akamzukumu mwenzake.
Basi yule mzukumiwa anaweza kuchukua chumvi ya mawe punje elfu moja (1000) na kitambaa cheupe.
#kisha akazitia zile chumvi kwenye kitambaa kwa manuwizi maalumu ya kuifanya Mali ile ama pesa za mshirika/mtapeli yele na atakifunga kifurushi kile na kwenda kukitupa #polini maka huyo mzalimu asili ya nyota yake ni udongo ama maji.
Na atakitupa kwenye mto ama mfereji kama dhalimu huyo nyota yake utakuwa ni yenye asili ya tabia ya moto ama ni upepo.
3-#KUWAAPIZA MAADUI.
#Kama MTU atakuwa amehamia katika nyumbani mpya ama mji ni mpya kwake kwa makazi na wachawi na wanga wanamsumbua kwa kumfanyia visa na vitisho kwa ajili ya kumjaribu.
Basi mtu huyo antachukua chumvi nyeupe ya mawe na pilipili hoho na ndula tula na shubiri nyeusi na majani ya kitunguu maji kisha akavichoma kwa manuwizi yake anavyo taka kwenye moto mkali mbaka vitu vile viwe majivu kabisa isipo kuwa kuuwa basi wabaya hao utawabaini bila kificho.
+255685566362
+255717108210
4-#MAPENZI.
#Endapo mtu ata chukua chumvi ya mawe nyeupe na kuchanganya na unga wa baruti na mchele na unga wa ngisi na kuvichoma katika moto mkali wa mkaa ama wa jini hakika mtu huyo anae kusudiwa atapata tabu ndani ya moto wake kimapenzi juu ya yule alie mchomea
#TAFADHALI USIJARIBU ILA KWA YULE MWENYE NIA NAE THABITI YA HAKIKA.
5-#KUTOA NUKSI NA VIFUNGU.
#Endapo mtu ata jigundua kwamba ana nuksi ama vifungo basi atachukua chumvi nyeupe ya mawe kiasi cha konzi moja na vipande sukari mawe saba(7) na #jumba la konokono bahari kavu na #unga wa mchele na #marashi rose.
Kisha ukavaanguo nyeupe kwa siku ya kutawala nyota yako na kujimwagia huku ukiwa una soma dua hakika kwa uwezo wake mungu ana kuondolea hivyo vifungo na hiyo nuksi.
#kwa ushauri na maswali.
+255685566362
#Watts up number.
0 comments:
Post a Comment