#KWANINI MTU HULOGWA?
:-#Kulogwa ni kitenda cha mtu kufanyiwa uchawi ambao huathiri vitu viwili vya msingi ambavyo ni (a) #Afya. (b) #Mali.
Kwani hivi ndio vitu vya msingi ambavyo kila binaadamu anapigania kuvi pata kwani mtu hua na utulivu anapo kuwa navyo na hukosa raha na amani na kuwa na dhiki na tabu kubwa kwa kukosa moja ya vitu hivyo ama vyote kwa ujumla.
+255717108210
#WAKINA NANI HULOGA?
:-#kazi ya kuloga hufanywa na mashetwani wa #kijini na watu wabaya ambao kwa jina maarufu hujulikana kwa jina la #Wachawi.
Kwani njia za kuroga ama kumdhuru mtu kwa uchawi hutumika na mchawi ni kuutumia uchawi wake binafsi ama kwa kumtumia shetani wa kijini anae ujua uchawi.
#MTU HULOGWA KITU GANI?
+255717108210
:-#Kiuhalisia wa ndani mtu hulogwa katika mambo yake mawili.
(1) #Mali, :- hapa tunapo zengumzia mali hujumlisha aina zote ambazo ni furaha zinazo patikana kwa jitihada ya utafutaji wa mtu kwajinsi mungu alivyo ampangia kuipata neema hiyo ikijumuisha (a)watoto. (b)Mke.
(C)nyumba. (d)shamba.
(e)cheo. (f)miradi mbali mbali.
(2)#Afya.Kwa upande wa afya hapa ni mahusiano ya mtu na mwili wake hapa mtu hutiwa maradhi ya mwili wenyewe.
#KWANINI WACHAWI HULOGA?
:- Wachawi huloga kwa sababu kuu mbili
1-#chuki binafsi juu ya kile ambacho mtu mwingine anacho
Kwani asili ya mchawi ni #ujinga na #Roho mbaya inayo mtawala.
+255717108210
2-#ugomvi wa kugombania kitu na mtu mwingine kama vile (a)cheo kazini. (b) shamba.
(C)mke ama mume. (d) Mali ya urithi.
#NJIA ZIPI HUTUMIKA KATIKA KUROGA?
:-#Kwa kawaida wachawi hufanikisha mambo yao na kudhuru watu kwa hutumika njia mbali mbali kama vile
(1)# kuchukua vitu vya mtu vya mwilini mwake ama kitu ambacho kiligusana na mwili Wa mtu ambacho kilipata kumilikiwa nae mfano wa nguo na aina nyingine ya mampambo ya mwili kama #Heleni #bangili #kucha #nywele #mate ya mwanzo aliyo tema wakati alipo piga mswaki asubuhi.
(2)kuchukuliwa nyayo ama kimvuli katika sehemu ambapo aoisimama baina ya kimvuli na jua.
(3)kuchukuliwa kwa kitu cha kinacho kusudiwa Kulogwa kama #shamba basi huchukuliwa mchanga #kama gari basi huchukuliwa Spears zikizo tumika.
#MTU HULOGWA VIPI?
:-#Kitaalamu mtu hulogwa kwa njia tatu.
(1)hulogwa kwa kutumia uchawi pekeyake uchawi ambao mchawi huchanganya baadhi ya miti ya kichawi na vitu vingine vichafu vinavyo unda uchawi anapo ukusudia #kama vile anapo taka kuutengeneza uchawi wa nuksi basi huambatanisha na mizoga ya #kunguru #panya mbwa.
+255717108210
Na kwamaradhi basi huchanganya na mizoga ya konokono chura ama ndege wasio liwa pamoja na mijusi.
(2) kurogwa kwa kutumiawa jinni wa kichawi(shetani) ambaye huyu huingia katika mfumo WA mwili wa mtu na kufanya kazi alio agizwa.
(3)Kurogwa kwa kutafutwa mtu kipindi mtu nyota yake imezama.kama tulivyo tangulia kufafanua katika mada za nyota zilizo pita kila mwanaadamu ananyota zinazo mtawala ambayo ni zote kumi na mbili(12)kila mtu humtawala kwajinai anavyo tawaliwa na nyota husika ingawaje watu wengi huitambua nyota moja tu ambayo mi nyota ya uwakilishi wa maumbile na tabia ya mtu.
#Lakini kitaalamu nyota zote hizo kumi na mbili(12) bado kila mtu anahusika nazo kiukamikifu wa utendaji katika mfumo mzima wa maisha.
Huu ndio mfumo mbaya zaidi kwa kulohewa kwani kila nyotavina kipindi vinne (4)katika mzunguuko wake.
1-#utukufu. 1#kuchomoza.
3-#kuporomoka 4-#kuzama.
#Sasa hapa kwenye kuzama hapo ndipo inapo fanyiwa balaa zote ambapo hapo kipindi hicho kila mtu kings zake zote huwa hazifanyi kazi na ndio maana hakuna aside rogeka kwa watu wenye elimu kwani hapo kila kitu hakuna kisichowezekana kuingia katika jambo ambalo watu hukikusudia.
#VIPI UTAJIJUA KAMA UMEROGWA?
1-#kutofanikisha mipango na watu katika swala la utafutaji WA maisha.
+255717108210
2-#kuchukiwa na watu pasi na ugomvi.
Kutafuta kwa kiwango kikubwa na kuambolia kichache kisicho endana na like ambacho ni uhalisia wake.
3-#kuchukia mahali pa kazi.
4-#kuchukiwa na viongozi walio kuamini pasi na sababu.
5-#maradhi yasio onekana katika vipimo vya kidactari(hospital).
+255685566362
6-#maradhi ya kujirudia yasio julikana kwa mashine na kupona kwa kipindi pasi na dawa maalumu.
7-#kufakwa miradi ghafla pasi na sababu za msingi.
8-#kutopata msaada kwa watu wenyewe kustahiki na uwezo wa kukupa msaada.
9-#Kujihisi wasiwasi na kukosa kujiamini kwa kila unalo lipanga kulifanya
#KWA MSAADA ZAIDI NA USHAURI.
#Watts up number +255717108210
0 comments:
Post a Comment