#Kwa ujumla wake tunaweza kuziita ni punje ndogondogo ambazo hutumika kama chakula kwa binaadamu na wanyama.
#punje hizi ndio humsaidia mwanaadamu kuupa nishati kadha wa kadha na kuweza kuepukana na upungufu wa kinga katika mwili na mwili kuwa wenye afya njema.
#kuna aina nyingi sana za nafaka lakini kwa ujumla wake zipo zenye kupenda na jutumiwa zaidi na wanaadamu kwa matumisi ya kula na zingine ni kwa ajili ya kutengenezea malighafi nyinginezo.
#Nafaka hizi mbali na kutumika kama chakula lakini pia nafaka ndio hutumika kama tiba katika kutibu maradhi mbalimbali lakini kama ilivyo kawaida ya huu ukurasa wetu sisi hujifunza faida za vitu mbalimbali tofauti na watu wengu wanavyo vitumia watu katika mazingira ya kawaida na tuna egemea zaidi kwa vitu hivyo katika kutatua matatizo mbalimbali ya kiroho yanayo tusakiri wanaadamu.
#zifuatazo ni faida mbalimbali zitoka nazo na nafaka.1-#Maradhi ya kijinni.
#kwa mtu ambae anasibiwa na maradhi ya kisheytwani na majinni hayo hayapandi isipo kuwa humuaribia mambo yake basi mtu huyo atasaidiwa kama ifuatavyo.
#utachukua nafaka aina saba katika hizo saba hakikisha karanga hazikosekani kisha zitie katika bakuli moja chini mtandikie akalie kitambaa chekundu kama ni mwanamke awe na kuku wa kiume na kama mgonjwa ni mwanaume basi amshike kuku jike mfanyie kisomo cha سورة يس saba kwa kufata mafundo ya mwili kisha utafatilizia dua سيف الجن mara saba mulemule kwenye mafundo ya mwili ulio yasomea bila kuluka ukimaliza mtoe mginjwa nje asimame na kile chombo cha nafaka kiwe mbele yake kisha amnuie yule kuku kwa kumtoa sadaka kuepukana na matatizo hayo ya kisheytwani kisha amchinje amuache apapatike na yeye awe amesimama palepale mbaka yule kuku atakapo poa ataingia ndani.
#kisha muandikie dua hiyo hiyo سيف الجن mara moja katika karatasi nyeupe achanganye na majani ya mdimu anywe na kuoga siku saba.
na maendeleo mazuri atayapata na kufungukana shida zake.
2-#Kufungua riziki.
#Ikiwa mtu anavifungu vya riziki kila analo taraji kufanya halitimii kila ahadi anayo pewa haitimii kutokana na vifungo vya nuksi ya kibinaadamu.
#basi utatandika chini kitambaa chekundu na cheupe kisha mgonjwa atakalia juu yake utachukua mchanganyo wa nafaka zifuatazo.
1-#kuzbara. 2-#mahindi. 3-#mchele. 4-#chumvi ya mawe. 5-#ngano. 6-#mtama. 7-#uwatu.
#mtama kisha vutu vyote hivi utavichanganya mahala pamoja
uta anza kumsomea سورة الفتح mara 14 na wasiylat shafi mara moja huku una mwagia ule mchanganyo wa nafaka mbaka utakapo maliza na mgonjwa awe amemshikilia kuku mwenye rangi mchanganyiko baada ya hapo vile vitu utavijusanya na kwenda kuvitupa njia panda kubwa.
#kisha muandikie hiyo sura mara moja katika karatasi nyeupe kwa maji ya mvua na naji ya bahari changanya na maji ya nazi kisha mgonjwa atumie kuoga siku saba na majibu mazuri yatapatikana inshaa allah.
+255717108210
+255685566362.
3-#Kuangamiza uadui.
#katika swala zima la utafutaji wa maisha yetu binaadamu hua hatukosi maadui wa kila mtu hupenda yeye ndie apate zaidi ya mwenzie kwa binadamu wote tuna asili ya kutaka kupendwa na kila mtu sasa ikitokea sehemu moja kwenye mkusanyiko wa watu mmoja akawa amepewa nafasi flani ya cheo basi maadui hawakosekani kwani kila mmoja hutamani kuwa na cheo na kuthaminiwa na wenzake kuliko wengine hivyo hupelekea husda na uadui kuanza kumuandama mtu kuoitia nafasi aliopo.
sasa endapo mtu ana maadui wa aina hii ama wale wenye kumkusudia tu mtu kwa rohombaya zao hata kama si kazi na anataka maadui hao washindwe juu yake basi atachukua nafaka hizi.
1-#ufuta. 2-#mtama. 3-#ngano. 4-#kunde. 5-#chumvi ya mawe. 6-#uwele. 7-#uwatu. 8-#mahindi.
#vyote hivi utavichanganya pamoja na kuvitia katika chungu kilichopo katika moto utaanza kutia humo katika chungu mchanganyo wako huku ukiwa unasoma سورة المسد mara 1000 mbaka mwisho na kumaliza na سورة توب mara moja kisha maliza na ادعاء حرز جوشن الكبير mara moja
#lakini mtuhuyo mwenye kukusudik kuuondoa huo uadui awe amekaa juu ya kitambaa chekundu na cheusi na awemshika kuku mwekundu baada ya kumaliza utamchinja yule kuku na kumuapiza uvunja uadui kisha ataoga dawa ya kujifungia kheri zake zote.
+255717108210
+255685566362
4-#Mvuto wa katika biashara.
#ili mtu kupata mvuto na wateja katika biashara yake atachuku nafaka saba tifauti ambazo ni.
1-#mchele.
2-#mahindi meupe.
3-#filfil abyadh.
4-#mbaa nyeupe.
5-#habbat rishadi.
6-#uwele.
7-#mtama mweupe.
#nafaka zote hizi ziwe juu ya kitambaa cheupe sharti unatakiwa uziweke kila moja mahala pake kisha waombe watoto wengi ndio wazichanganye nafaka zote wakimaliza kuchanganya zitwange ziweunga laini changanya na unga wa kiazi cha mlangamia dawa yako inakuwa tayari kwa matumizi ya kuoga asubuhi na kuchoma mahala pako pa biashara yako.5-#Kutafuta kinga na kuwaapiza maadui.
#Ikiwa mtu anafanyiwa sana uadu n ana taka aepukane nao maadui hao basi atachukua nafaka saba tofauti na kuchanganya na baruti na chumvi ya mawe.
#vitu vyote utachanganya pamoja kisha utachukua chungu kipya utaandika makusudio na nia yako katika hicho chungu kipya ala! ala! usiandike jina lako huko ndani ya chungu kisha kiweke jikoni kwenye moto mkali tandika kitambaa chekundu juu yake tandika cheusi kisha soma سورة الرعد 15 na سورة الرحمن mara 30 huku ukiwa una nuia haja zako na huku unaweza mchangano wako huo katika chungu mbaka unamaliza kisomo chako ukimaliza utakiepua kile chungu utachimba shimo kisha ke chungu utakifunika humo kwa manuizo unayoyataka kisha chungu utakimwagia maji huku unanuia kuuzima uadui na kumpoza kia adui kwako ukimaliza kifukie chungu na utaona maadui zako watakavyo pata tabu na kuhangaika na kuropoka walio kuwa wakiyafanya dhidi yako.
kwa leo tuishie hapo ingawaje mengi yapo lakini tutakapo pata nafasi basi tutazidi kujuzana zaidi.
kwa maoni ama maswali basi mawasiliano ni.
watts up
+255717108210.
#ama piga
0 comments:
Post a Comment