#KINU.
#hiki ni kifaa kinachitumika kufanyia shughuli za sagaji wa vya kula mbalimbali angu enzi za mababu zetu mbaka sasa bado ndani ya majumba yetu tuna tumia vinu kwa shughuli za usagaji wa nafaha na vyakula tofauti.
Tangu zama mabibi na mababu zetu walikuwa wakitumia kusaga mahitaji yao kwa kutumia mawe na hata vinu wangeweza kutumia vinu vya chuma hata mitwangio ya chuma lakini wao walitumia aidha vinu vya mawe kwa kutwanga na michi ya miti ama vinu vya miti na mitwangio ya miti pia.
Chombo hichi cha asili mbali na shughuli zake kwa matumizi ya uandaaji wa vyakula pia kinu kina siri nyungi nzito katika mfumo mzima wa maisha ya mwanaadamu.
Mwanaadamu ana changamoto nyungi anazi kumbana nazo katika mfumo mzima wa maisha yake ya kila siku changamoto hizi zipo za kimaisha na hata kimwili.
Lakini yote haya huchangiwa na sisi wenyewe binaadamu na hata wenzetu tunao ishi nao hapa duniani (MAJINNI).
:-#kwa mfano upande wa maradhi sababu za maradhi mengi ni sisi wenyewe binaadamu kwani sababu kuu za maradhi ni ulaji mmbaya wa vyakula na uchafu kutapakaa hovyo.
Lakini pia kwa upande wa maisha ya kinajimu na maswala mazima ya maisha ya ulimwengu wa kiroho maisha yetu binaadamu huaribika kwa sababu za kimajinni tunao ishinao hapa duniani na muda mwingine ni binaadamu wenzetu wenye hasada za kichawi na shirikiana na majinni ya kichawi.
+255717108210
+255685566362
#Kinu tunavyo kitumia watu wa kawaida ni tofauti na watu wengine washirikina (wachawi)wanavyo kitumia katika kuwadhuru watu kwa njia na matatizo mbalimbali wachawi hukitumia mno kinu katika kuwa funga watu na kuharibu nyota za watu na hata kuwadumazo watoto kiakili na hata watu wazima.
Leo hapa pamoja na kinu kwa mapana yake na utundu unaofanywa kwa kutumia chombo hichi tuta angazia kwa uchache madhara na matatizo pamoja ana kadhiya kadha wakadha zitokanazo na kinu.
+255717108210
+255685566362
1-#Kumfunga mtu nyota.
Msjirikina (mchawi)anapotaka kuharibu maisha na bahati za mtu abaye ameamua kumfanyia hasada basi huchukuwa kinu kidogo kilichotumika mda mrefu na kitambaa cheusi cha kuokota anakiapiza kile kitambaa kwa manuizo mabaya huku anakifunga mafundo kile kitambaa huku akiweza dawa yake katika kila fundo na kulikaza vizuri huku akiwa ana apiza fundo kwa nyota ya mtu yule mbaka anamaliza mafundo yote saba baada yakumaliza kuzifunga na kuzivuruga nyota zote saba za bahati kwa mwanaadamu yule alie mkusudia huchukua na yai viza moja yai lile huliapiza kuwa ni yule mtu anae mkusudia kisha analifunga nakile kitambaa alicho kifunga na kuchimbia shimo njiapanda ama kaburini na juu yake hufumika na kile kinu hapo baada ya muda mwanaadamu yule alie husudiwa bahati zake na mipango yake ndio huamza kwenda mlama nakila analo taraji hua ni mtihani kwake kutekelezeka.
#Hapo ndipo mtu hufikia ana elimu nzuri lakini akitafuta kazi hapati huchukuliwa wasio na sifa na yeye akaachwa ama mschana mrembo lakini bahati hana hii yote hutokea baada ya kukumbwa na kadhiya kama hizyo.
+255717108210
+255685566362.
2-#Kufungua kizazi:-# Ikiwa mtu anasumbuka na kizazi mpangilio wa siku zake anaupata kama kawaida lakini mimba hashika basi atachukua majani ya msipo pamoja na mzizi wake kisha utaitwanga katika kinu huku unanuia unavyo taka lakini wakati wa kutwanga dawa unatakiwa uwe sehemu isiyo kuwa na kimvuli juu yako mda ambao kimvuli chako hakiangukii upande mwengine utaitwanga mbaka iwe laini kabisaa utatia maji kiasi utainywea humo humo kwenye kinu baada tu kutoka katika siku za kutumika.
+255717108210
+255685566362.
3-#Kuzindika mwili:-kwa mtu ambae anapigwa vita na washirikina ama katika nafasi ya kazi anapigwa vita basi atalaza kinu kisha atakalia na miguu itakuwa juu ya mchi kwambele mbele yake atainjika chungu atasimewa kisomo cha ihlaki adui na hif-dhi.
Huku yeye atakuwa anakaanga bukhuri maalumu mbaka mwisho baada ya kumaliza chungu atakichimbia shimo dogo atakiweka kwa kukifunika huku unanuia kufanika maadui juu yako kisha unakihariki kwa manuizo kwa kutumia mchi.
Inshaa allah majibu utayapata jinsi watakavyo fadhaika juu yako.
+255717108210
+2556855663624-#Kufungua nyota ilio fungwa.
:-#kama mtu alifungwa nyota yake na bahati zake katika utafutaji wa maisha yake kila alipangalo halifiki mwisho kila afanyalo huvunjikia njiani basi atachukua dawa zifuatazo mnyakasozi.msinduzi.mguluka.
Dawa zote hizo zinatakiwa kuwa katika hali ya uzile utaziloweza ndani ya kinu kipindi cha mwezi mpevu usiku kinu utakiacha wazi usiku mzima nje pamoja na na7zi saba asubuhi panapo kucha utamuekea kinumbele yake chenye dawa na miguu itakuwa juu ya mchi utamfungua mgonjwa huku kila nazi akiiapiza na kuitemea mate na kuipasua kwenye jiwe mbaka zote saba zina kwisha bada ya kumaliza utamuosha ile dawa na atakuwa kisha funguka baada ya siku saba utampandisha nyota yake na kila jambo litakaa sawa kwake.
Kwa maoni ama ushauri.
Wattsup +255717108210
Pia unaweza kupiga kwa kutumia yoyote
0 comments:
Post a Comment