#MAJI.
Watu woote duniani tunayajua maji ingawaje kila watu huyajua kwa kwa majina ya lugha zao tofauti tofauti.
#Watu wote na viumbe vyote tuna uhitaji mkubwa mno wa maji kwa ajili ya miili yetu na matumizi kadha wakadha sehemu yoyote inapokosa maji basi sehemu hiyo maisha kwa viumbe hai vyote ukitoa kundi la majinni na malaika basi hapo maisha huwa ni yashida mno.
#Kadhaalika mahala penye kuwa na maji basi huwa na pilika nyungi kwani hapo huwezekana kufanya mambo mengi kwa kutumia maji nahata maisha na mfumo mzima wa upumuaji huwa ni mzuri kwa ajili ya maji kwani maji hubeba oxgen nyingi na hivyo hupelekea kuwa na mazingira rafiki kwa viumbe hai.
#Maji yapo ya aina mbili tu maji ya chumvi(ladha ya chumvi) na maji matamu (maji baridi).
Lakini vyanzo vya maji vipo vya aina nyingi kiasi kama vile.
1-#bahari.
2-#mito.
3-#maziwa.
4-#chemchem.
5-# mvua.
#Kiumbe hai chochote hutumia maji na huitaji maji kwa kiasi kikubwa kwa matumizi mbali mbali lakini sisi binaadamu tyna matumizi nayo makubwa mno kuliko kiumbe hai chochote duniani.
#Mfano wake tuna yatumia maji kwa matumizi kama vile njia ya usafiri,kuchimba gesi.mafuta.chakul.umeme.na kupata malighafi mbalimbali ambazo hutumika katika nyanja nyingi sana.
#Hapa lea katika upande wa tiba ya kiroho tuta pata kujuzana matumizi ya maji kwa yale ambayo wengi hawayajui na wachache wanaojua watatujuza machache wanayo yajua pia.
+255717108210
+255685566362
#maji katika tiba kwa maradhi ya kiroho huweza kutumika kwa kuondoa matatizo mengi pamoja na kuleta faida kubwa kutokana na aiya ya tatizo na chanzo cha maji mahsusi.
1-#kuondoa maradhi makubwa katika mwili wa binaadam.
Mtu ata takiwa kuchukua maji yalio tokana na mvua na kikingwa moja kwa moja kuja kwenye chombo yaani ambayo hayajapitia kwenye mkingo.
Maji hayo yatatakiwa kusomewa lakini si kila mwenye kujua tu kusoma qur ani basi kanyaga twende hapana ni vyema kumpata mtu mwenye kuwa na kwaida ya kufanya dua mara kwa mara na ata yasomea kama ifuatavyo.
1-# suuratil faatiha × 70.
2-#suuratil ikhaswi ×70.
3-#suuratil falaq ×70.
4-#suurati nnasi ×70.
5-# aayatul qursiyyu ×70. 6-#kumswalia mtume ×1000.
+255717108210
+255685566362
#Msomaji atatakiwa kila sura anapo maliza kusoma anayapulizia maji umzi moja na katika swala ya mtume kila baada ya mara 100 atapuliza mbaka atakapo maliza kusomea.
#Mgonjwa atatumia kunywa maji hayo na kujipaka mwilini mata mbili kwa siku kwanza asubuhi kabla hajala kitu chchote na usiku ni wakati wa kutaka kulala.
#Mgonjwa atatumia hayo maji kwa muda wa siku 21 hadi 40.
Inshaa allah afya itakuwa imepatikana.
+255685566362
+255717108210
2-#vifungo vya riziki.
#Kwa mtu mwenye kuwa na hali nzito ya upatikanaji rizki ama mwenye biashara inakuwa haiuziki vizuri basi atatakiwa kuchukua maji ya msikiti mkubwa ata changanya na maji ya kisima cha asili cha chemchem kicha ata yasomea maji aayatul qursiyu × 313 kwa mtindo huu ata soma mata tatu kisha atapuliza maji kisha atasoma mara kumi atakupiza tena kisha atasoma kila baada ya mara 100 moja ata puliza katika maji pamoja na kutia nia thabiti baada ya hapo atasoma dua jauhalil kamari mara 7.atapulizia pia kwenye maji.
Mtumiaji atatakiwa kunya maji yale pamoja na kujipata kichwa kizima kila anapo kwende kwenye mihangaiko yake ama kama mtu hana kazi kabisaa.
#Atatakiwa asubuhi tu kabla jua halijapambazuka vizuri anywe kidogo na kunawa usoni mikononi na miguuni kisha kuindoka kutembea kwenda mahala popote atakapo ilimradi asikae nyumbani mbaka jua linapo kuwa limechomoza kabisaa kuanzia mita ya saa 3 hadi 4 ndio arudi ndani atafanya hivyo zoezi hilo kwa muda wa wiki nzima.
+255685566362
+255717108210.
3-#Kuvuta mali.
Endapo mtu ana haya ya kupata jambo fulani na pesa hana basi atatakiwa kuchukua maji ya bahari yanayo jaa pamoja na maji yanapo dondokea kutoka kwenye mlima ama korongo ukisha yachukua maji hayo uta changanya na maji ya waridi kisha utayasomea maji hayo kwa muda wa siku tatu mfululizo bila kuyatumia kwanza siku zote tatu za dua yako utayasomea suuratil twaaha mara 3 na ayatul qursiyyu mara 100 kisha unataja jina la mungu yaa latwiyfu (يا لطيف) mara 4444 na kumswalia mtume mara 313/1000.
Utatakiwa kusoma mfululizo siku tatu siku ya nne ndio takuwa una oga maji yale mahali pasipo kuwa na najisi wala hayatapakai hovyo. Kwa muda wa siku 5 hadi 7.
+255717108210
+255685566362.
4-#Kutoa majinni machafu.
#Endapo mtu atakuwa anasumbuliwa na maradhi na matatizo ya maradhi ya kijinni na kisheytwani katika mwili wake mtu huyo atatakiwa kuchukua maji ya msikitini atachanganya na maji ya mto yanayo tembea ata tia ndani yake mafuta ya zaituni miski karafuumaiti na mafuta ya miski kisha atasomea maji yenye mchanganyo wa vitu hivyo
1-#suuratil raadi 14.
2-#suurali yaasin 3.
3-#suuratil dhaariyaat 3.
4-#suuratil jinni 4.
#kisha utamaliza kwa swalaati naaria mara 41.
Mgonjwa atatumia kunywa na kuaipataa mwili mzima kwa muda wa siku 14.
Mgonjwa mwenye kusibiwa na matatizo hayo ya kijinni na kisheytwani atatakiwa kutumia kwa kunywa nankuoga kwa muda wasiku 14.
+255685566362
+255717108210
Kwa yoyote mwenye shida binafi karibu ofsini kwa msaada zaidi mawasiliano ni
+255685566362
na watts up ni
+255717108210
0 comments:
Post a Comment