Friday, April 29, 2022

#NYOTA NI NINI?

#ULIMWENGU WA NYOTA NA MAHUSIANO YA MAISHA YA
 MWANAADAM.

#Nyota ni sayali zilizopo mbinguni zipo kumi na mbili(12) ambazo ndio muongozo wa maisha ya mwaadam.

#Nyota zipo za samawiya(mbinguni) na ardhiya(duniani).

Nyota za mbinguni ni nyota zenyewe zilizopo mbinguni ambazo mwanaadam akizaliwa anazikuta duniani hakuna nyota ila sisi binaadam tuna mahusiano ya kiroho na nyota zilizopo mbinguni.

#tunapo zungumzia nyota tuna ongelea elimu inayo endana sambamba na mfumo mzima wa maisha ya mwaadam.



#a,tabia zake

#b ,utafutaji wake wa maisha

#c,kazi zake.

#d, maradhi yake.

#e,tiba zake.

#f,uadui wake.

#g,pia ina husisha nani wa kushirikiana nae kikazi na kibiashara.

#h, huusisha pia nani wa kushirikiana nae kimapenzi.

#Nyota tunazo zungumzia hapa si kila nyota inayo onekana angani hapana bali ni zile ambazo maalum zinazo tuongoza katika maisha yetu ya kila siku.

#Nyota hizo 12  zenye asili ya tabia nne (4) baadhi zipo za bara na baharini.

#wataalam pia waka zigawanya nyota hizo katika jinsia mbili ambazo ni zakike na zakiume.

#watu wote duniani tunatembelea nyota hizi 12.

#kila binaadam anapo zaliwa huwa na nyota moja na kila mtu ananyota yake moja tu ya asili lakini nyota hizo zote kumi na mbili ana mahusiano nazo kiutendaji katika maisha.

#Nyota hizi hazionekani kwa macho ya kawaida ila watu wenye elim ya mbali na wachawi pia huweza kugundua mtu ana nyota yenye manufaa gani.

#Kutokana na nyota  mtu huweza kafanya kazi inayo endana na nyota yake kwa ufanisi wa hali ya juu na kupata manu faa makubwa.

#Kutokana na mpangili na tabia za nyota kila mwanaadam ana kazi zake maalum ingawaje mtu mwenyewe asi ipende kwa muonekano au mazingila.

#Nyota zote ni sawa zipo mbinguni kuna ambazo zipo chini zaidi na zingine zipo juu zaidi.

Na zipo zinazo shabihiana(kupatana) na zisizo patana yaani zina uadui.

#mfano kuna mtu anaweza kupewa pesa na mtu badala ya kumsaidia pesa ile humuongezea matatizo anaweza kuumwa ama akadhikika kwa kipindi fulani. 

#watu wengi hufanya kazi na kuto ona manufaa kutokana na sababu za kufanya kazi zisizo kuwa zao na mwishoe hujikuta wakipoteza mda pasi na sababu.

Wenye elimu huweza kuona nyota ya mtu na kujua ana manufaa gani na nyota hiyo.

+255717108210

+255685566362

 #Wachawi nao huweza kuchukua nyota ya mtu na kuitumia kwa jambo lile analo weza kuoifanya ili limnufaishe yeye binafsi.kwani kilan yota ina cheo chake kuna nyota za biashara,za uvuvi, ukulima,uwakili,urembo utangazaji na hata utukufu.

Mtu anapo taka kufanya jambo lake na yeye akagundua nyota ya lile swala/jambo hana ndopo huweza kufanya hila ya kutumia nyota ya mtu mwingine na kuiharibu na kuitumia yeye.

#JE?WAKINA NANI HUARIBU NYOTA ZA WATU?

#Nyota huaribiwa na maadui wakubwa wawili ambao ni majini na wachawi.

Hawa ni maadui wanao shirikiana kwa pamoja katika kila kufanya uhasidi wao.

Mchawi hawezi kufanya kazi bila ya jini na jini hawezi kufanya kazi bila ya uchawi.

#JE? NIDALILI ZIPI ZA MTU ALIE CHEZELEWA AMA KUHARIBIWA NYOTA?   

#1,kufungwa kwa ndoto

#2,kujiona kama hayupo timamu kiakili haliya kuwa ni timamu.

#3,kuwa na mipango mingiya maisha lakini yote hufeli.

#4,kufanya kazi nakuto ona thamani ya malipo yake.

#5,msongo wa mawazo unao pelekea kwenye ulevi wa aina yoyote kupitiliza.

#6,watu kukuona sichochote hatakama una ujuzi na elimu ya hali ya juu.

+255717108210

+255685566362

#7,kuwa na roho ya kuto jiamini kwa kila jambo.

#8,kufilisika ghafla.

#9,kuota kufa mara kwa mara.

#10,kuota unakuwa chizi/mwehu/mwendawazimu.

#11,kuota unafanyishwa kazi ngumu na ukiamka umechoka kweli.

#12,kufa hovyo kwa mipango ya kimaendeleo.

#13,kujiona wewe mwenyewe si chochote kwa watu.

#14,kukimbiwa na wachumba/wapenzi.

#Ni vipi mtu ataijua nyota yako?

Namna gani utailinda nyota yako?

Na je?nani ni mpezi wa nyota yako?

Hivi ni nyota gani inafaa kufanya dayo biashara?

#Basi kwa msaada wa majibu yote hayo wasiliana na +255743474714

#na kwa whatsapp namba ni hiyo 

+255717108210

0 comments:

Post a Comment