#NJIWA.
#Njina ni ndege ambaye ni maarufu mno duniani ni ndege anae weza kuishi nyumbani na pia kuishi porini ndege huyu ni miongoni mwa ndege ambao ni rafiki mno na binaadamu tangu kale na kale.
#mahausiani ya binaadamu na ndege ni mahusiano yenye kushaajabisha mno kwani ni viumbe ambavyo nijamii mbili tofauti lakini ni viumbe vinavyo elewana mno na kuweza kukaa mahala pamoja bila shaka.
#ndege huyu ukitaka ukianza kumuelezea kuanzia mahusiano yake uzazi wake mbaka maisha yake ya kila siku itakuchukua mda na wasaa mwingi kwani ni mada ndefu mno.
#njiwa ni ndege pia anaependwa na wanaadamu wengi ingawaje wachache kati yetu kwakuwa hatujui mambo alio umbiwa nayo ndege huyu pamoja na faida zitokanazo na njiwa basi wachache katiyetu tumekuwa ni wenye kumbeza njiwa na wengine kumuona kama ni ndege wa nuksi na ishara mbaya kwetu lakini ukweli binaadamu kwetu njiwa ni ndege adhimu mno kutokana na mambo yanayo patikana kwake.
#Njiwa amekuwa ni ndege mwenye kutumiwa na mwanaadamu tangu hapo kale kwa kazi mbali mbali kama vile.
a-#kutuma ujumbe kwa mtu ama watu fulani.
b-#kuongoza njia za misafara kwa watu wa kale.
c-#kutoa ishara za hatari.
hizi na zingine nyungi mno njiwa mbali na kuliwa kwake na kutumwa kwake katika maeneo na kazii mbalimbali pia njiwa ana faida nyingi mno katika mambo ya kiroho.
#Kawaida yetu hapa sisi tumekuwa tukijuzana vitu mbalimbali ambavyo hutumiwa ama vipi katika maisha yetu tunaishi navyo kilasiku katika matumizi ya kiroho.
kadhaalika hivyo hivyo leo tutamuangalia njiwa na faida zake katika upande wa kiroho.
+255717108210
+255685566362.
#Katika faida zake njiwa huweza kutumika katika mambo kama yafuatayo.
1-#kufungua maruhani yalio fungwa.
#Kama mtu alikuwa na majinni wazuri walio kuwa aidha wanafanya kazi ya utabibu (uganga)na wakaja wakafungwa basi kwa kutumia njiwa mtu huyo huweza kufunguliwa maruhani hao ama hakuwa mtabibu (mganga)bali walikuwa vizuri tu wakimpa habari na mambo mengine lakini kutokana na hila za watu ama watu wanaopenda kutaka kuiba majinni wa watu na kuina choyo kuwafunga basi iliaweze kufungukana atafanya kama ifuatavyo.
+255685566362
+255717108210
#atachukuwa Njiwa mweupe pamoja na maji ya visima saba tofauti visima ambavyo havipigwi na jua maji yake kisha utaandaka suuray nashraka mara thalathini na tatu (33) pamoja na ayati nuur mara saba.
utamchukuwa njiwq mweupe kisha atamfunga katika kitanda upande anao lalia yeye pamoja na nazi moja atalali upande huo usiku wake asubuhi kabla jua halija kuwa kali basi nazi atavunjwa kizingitini baada ya kunuia kuwafungua maruhani hao na njiwa ukiwa umemshika upande wa kushoto baada ya kupasua nazi njiwa utamrusha bila kumchinja utamnuia kumtoa swadaka tu lakini humchinji.
#baada ya hapo ile karatasi yako ulio iandika utaitia katika yale maji pamoja na marashi na niski nyeupe na utatumia kuoga pasipo kuwa chooni maji yale kwa muda wa siku saba mfululizo.
inshaa allah uta anza kuwaona wana kuja na kukupa habari.
2-#Kupandisha mtu nyota.
#Kwa mtu ambae nyota yake ni dhaifu anataka iwe juu basi ata tafuta #njiwa mweupe na kumchinja kisha ile damu ya njiwa na miski ya unga nyeupe pamoja na ambari nyeupe uta andikia Aayatu nnuur mata saba (7) na pamoja na يا ودود يا جامعmara 313.
mkalishe juu ya kiti kikiwa kimetandikwa kitambaa cheupe mbele yake muekee mishumaa meupe saba kwenye sahani mayai saba nazi saba na chumvi ya unga kilo mbili na nusu. mayai safi saba udi saba.
+255717108210
+255685566362
#kisha utamsomea Ayaa yatu nnuur mara arobaini na moja (41) pamoja na ياودود ياجامع mara elfu mianne na arobaini na nne.(4444) kisha utamaliza kwa duaau shamsul balad mara moja (×1) baada ya hapo karatasi ile ulio iandika utailoweka na kuioga asubuhi kwa muda wa wiki moja.
utaanza kuona watu watakavyo kuwa wana kupenda na kukufurahia iwe katika ofisi ama biashara yako.
+255685566362
+255717108210
3-#Kumuamisha mtu kutoka katika mji.
#Ikiwa mtu kunamtu anamfanyia fitina ama kumuandama na uadui kazini na anataka mtu huyo aepukane nae basi uta tafuta #Njiwa mweusi utachukua kitu kinacho tokana na yeye ime uzi wa nguo yake ama mchamga wa alipo kanyaga ama sehemu ya mate alio pigia mshaki uta andika jina lake katika karatasi pamoja na mji unaotaka aondoke kisha uta tia na ile athari ya mkusudiwa utamfunga njiwa mweusi upande wa kushoto kisha utamsomea suuratil jinni (سورة لجن) mara arobaini na moja bisaatil kamar ukimaliza utaenda nje ya mji aliopo huyo mkusudiwa kisha utamrusha yule njiwa.
na huyo mkusudiwa utasikia hatochukua mda atahama katika mji huo ama ofisi aliyopo.
+255717108210
+255685566362.
4-#Jinni mahabba.
#Kwa mtu ambae anasumbuliwa na jinni mahaba kwa asie mjua jinni mahaba miangoni mwa dalili zake kwa uchache ni (a)#kuota kuingiliwa mara kwa mara.
(b)#kupatwa na nuksi ya kukataliwa kimapenzi.
(c)kuchukia ghafla mtu wa jinsia nyingine anapo kuinyesha ishara ya mahusiano ya kimapenzi.
(d)#kuchukia tendo la ndoa na mwanandoa mwenza wako.
(e)#kukosa hamu ya tendo la ndoa uwepo na kwenye tendo la ndoa na mwanandoa wako.
(f)#kukauka ghafla sehemu za siri wakati wa tendo la ndoa na mpenzi wako ama mwanandoa wako.
#kwamtu mwenye dalili kama hizi huyo mtu ni wazi kabisaaa kuwa anasumbuliwa na #Jinni mahaba.
hivyo mtu mwenye dalili hizo atatakiwa kutafuta njiwa mweusi kisha chukua sahani andika majina hayo chini kwenye hiyo sahani kila jina moja andika mara arobaini na moja (41) kisha asomee suurat yaasin(سورة ئس) mara 12 na majina haya Yaa kahharu Yaa jabbaru Yaa muntakim Yaa mudhillu Yaa jabbaru Yaa mutakabbir yaa mumiytu.(يا جبار يا متكبر يا مذل يا منتكم يا قهار يا مميت) majina yote hayo utayasoma mara elfu moja (×1000)
kisha utakamilisha kwa duau Rajulani (لرجلان) mara moja.
#kisha baada ya hapo yule njiwa utamchinjia kwenye ile sahani na kuchanganya vizuri na na yale maandishi ulio yaandika kwenye sahani mgonjwa ata pakaa hayo maji kwa muda wa siku 7 hadi 14 asiache kujipaka mbaka atakapo muota jinni huyo ana muaga ama anamkimbia.
na hapo ndio utakuwa umefaulu kumkimbiza.
+255717108210
+255685566362.
5-#Kumwita mtu kimapezi.
#kama mtu amekimbiwa na mpezi wake ameondoa mbali na anataka amrudie kimapenzi basi atachukua njiwa mweupe utamchinja damu yake utaandika katika karatasi saba nyeupe maneno haya اءن ه ع ل ا ر ج ع ه ل ق ا د ر utaandika herufi hizo mara saba kwa kila karatasi moja chini yake utaandika ب د و ح mara ishirini kisha utachukua moyo wa yule njiwa utaukausha na kuutwanga upate unga #chukua unga wa kiazi cha #mlangamia changanya na #Ambari nyeupe changanya pamoja vyote hivyo vitu vitatu kisha tia mchanganyo huo katika kila karatasi moja na ufunge na uzi mweupe kisha baada ya hapo utakuwa unachoma kila siku kikaratasi kimoja kwa muda wa wiki moja utakuwa unamakiza na mkusudiwa atakuwa amereje.
inshaa allah.
6-#Biashara.
#Kwamtu ambae amekaa sehemu moja wapo watu wengi wanafanya biashara ya aina moja sehemu moja basi ilikwake wateja wawe wengi ata tafuta njiwa mweupe kisha utachukua karatasi nyeupe utaandika auurat muzammilu yote mara moja kisha utaiyayusha kwa kutumia maji ya mvua na maji ya msikitini majihayo utayatia katika ndoo na kuyasomea sura hiyo hiyo mara arobaini na moja (41) baada ya hapo utamchomoa njiwa mweupe mabawa ya kuliani na kushotoni ni upande wa juu ya kichwa huyo njiwa utayaingiza katika ndoo yako ya maji na maji yale utatumia kuyaoga kwa wiki moja huku ukiwa unanuwia hizo harakati zako basi bila shaka wateja wakifika katika eneo hilo watakukimbilia kwanza wewe katika bidhaa zako.
7-#Maradhi ya kitoto(Degedege)
#Kwa mtoto ambae anasumbuliwa na degedege basi utachukua mifupa ya njiwa mweusi pamoja na mvuje na maganda ya vitunguu maji na vitunguu thaumu na majani ya mbaazi utachanganya pamoja kisha utamsomea mtoto huyo sura hizi. 1-#suurat yaasin mara nne.
2-#suurat Rrahmani mara moja.
3-#suurat mulki mara moja.
4-#muzammilu mara moja.
5-#suurat Ddukhani mara moja.
6-#Ddaariyat mara moja
7-# suurat Kahfi mara moja.
baada ya hapo utamfusha mtoto kwa wiki mbili kila jioni.
inshaa allah kheri itapatikana kwake.
Kwa maswali ama ushauri usikose kupiga simu namba
+255685566362.
#ama
#Watts up
https://sayariyatiba.blogspot.com/2022/04/njiwa.html
0 comments:
Post a Comment