#Nazi.
#Tulio wengi tunaijua nazi kwani ni miongoni mwa matunda ambayo yanafaida kumbwa mno kati maisha ya mwanaadamu kila watu na wanavyo ithamini kulingana na namna yao wanavyo itumia katika kukidhi haja zao mbali mbali.
Kuanzia wa asayansi wa kisasa na hata wale wa kale pia wote huitumia nazi katika kutengenezea madawa ya maradhi mbalimbali yanayo wasibu binaadamu.
+255717108210
+255685566362
#Tukiachilia mbali nazi kwa matumizi ya kawaida ya majumbani.Kwani wengi wa majumbani hutumia nazi kama kiungo adhimu tu katika maswala mazima ya vitafunwa na vyakula sisi hapa kama kawaida yetu tunajifunza na kuhabarishana yale yatakayo kuwa na faida na sisi aidha mimi najua wewe hujui ama mimi pia sijui wewe ukawa unajua zaidi lakini yote kwa yote ni kutaka kujuzana faida mbalimbali zitokanazo na nazi na kuacha kuli dharau tunda hili pasi na kujua thamani yake katika nyanja nyingi za binaadamu.
#Kwanza tunapaswa kuufahamu mnazi wenyewe mnazi ni mmea ambao moja ya maajabu yake tangu kuanza kupandwa we yewe mbegu yake hupandwa tofauti na mimea mingine mingu nazi inapotaka kuoteswa basi mbegu yake haipandwa kwa kuelekezwa juu hua inafunikwa ndipo ipage kuchipua.
#Endepo mtu ataiweka kwa kuifunua basi awili ioze isichipue ama icbipue lakini mmea wake utakuwa hauna afya wala uwezo wa kutoa matunda yatakayo kuwa na uwezo wa khtumika katika shughuli za binaadamu.
+255717108210
+255685566362
#Wengi itakuwa tunayajua mengi kubusiana na nazi lakini hapa leo pia tutajuzana matumizi ya nazi kwa namna yake kwa upande wa tiba ya kiasili katika mambo mbali mbali kama ifuatavyo.
1-#kutoa nuksi.
Endapo mtu atakuwa amepatwa na nuksi basi atachukua nazi tatu ahakikishe ni zenye maji mengi andika ayatul qursiyu mara 11iweke kwenye chombo kisha zati zipasulie mule kwenye chombo kisha ongeza maji kiasi tu tumia kunywa kidogo na unipata baada ya kutoka kuoga kutwa mara mbili kwa siku tatu. (Hakikisha kama ni mwanamke haupo kwenye ada yako).
2-#moyo kuuma.
Kunamtu anaweza tu akawa hana tatizo la moyo ila akajisikia tu moyo unamsokota na una muuma basi chukua nazi na mabisi ya mtama cbanganya pamoja na asali ulambe kila baada ya masaa matatu.
3-#kufungua eneo ama kiwanja kilicho fungwa hakiuziki ama nyumba haiuziki.
Chukua nazi iandike aayatul qurzsiyyu mara tatu kisha isomee hiyo aya mara 313 ukimaliza nenda kaipasue kwa manuizi maalum hakika utaona maayabu yake na kila jambo litakuwa murwa kabisaa.
Ukimaliza ukota hivyo vipande uvifukie hapo hapo.
+255685566362
+255717108210
4-#kupandisha nyota.
tandika kitambaa cheupe tandaza mchele juu yake kaa juu yake
Chukua madafu mawili, na nazi tatu, mayai masafi mawili, weka mbele yako chukua mishumaa meupe mitatu iwashe kwa manuizi kisha anza kusom ana watu wakusomee suurat nashraha mara 313 na aayatul qursiyyu mara 100 kisha yaa latwiyf mara 120.
Utazipasua zile nazi na madafu maji utachanganya pamoja na utaenda kuyaoga mara moja tu.
5-#kumuamisha mtu katika mji ama nyumba.
Chukua nazi iandike suuratil naaziati aya tatu za mwanzo kwa herufi mojamoja kisha nenda nayo baharini kipindi maji yanatoka kaitupe humo kwa kumnuia nae aondoke mahala alipo basi ataondoka.
6-#kinga chukua mizizi ya mnazi mwekundu chukua karatasi tano kila moja iandike aaytul qursiyyu moja na alam nashraha moja funga pamoja na kipande cha mzizi wa mnazi somea aayatul qursiyyu mata 21 kwa kila karatasi kisha zifukie pembezoni mwa eneo ulilo likusudia basi patakuwa na amani kubwa.
+255685566362
+255717108210
7-#kupungua damu.
kwamwenye tatizo la kupungua damu muilini basi atafute mizizi ya mnazi mwekundu aikoshe achemshe awe anatumia kunywa glass moja mara tatu kwa siku hakiksha unachemsha hurudii kuchemsha dawa ya siku tatu mbaka tatu ziishe ndipo uchemshe nyingine.
Kwa maoni na ushauri piga namba.
+255685566362
0 comments:
Post a Comment