Friday, April 29, 2022

YAI

#YAI.
Tunapo sema yai kila mtu hulifahamu kwautamu wake yai tunaweza kusema ndio mfuko wa uzazi wa viumbe jamii ya ndege.
Mayai ni chakula kitamu sana kwa binaadamu ingawaje si tu binaadamu pekee ndio mwenye kula na kuwa na mapenzi na mayai.
Kuna viumbe vingi pia ambavyo hjpenda kula mayai ya ndege lakini mayai yote yanayo liwa 99% ni yale mayai ambayo ndege wake wanaliwa na ndege wote wasio liwa sawa sawa na  mayai yao kadhaalika hayaliwi. Katika mayai kuna virutubisho vingi sana vinavyo takikana na kuchangia kwa kiasi kikubwa mno katika kuurutubisha mwili wa binaadam.

+255717108210

+255685566362.
Lakini kawaida elimu ni bahari pana sana kwa kitu kimoja wewe unaweza kujua hili na mwingine akajua lile kadhaalika jamii fulani kwa kitu fulani hutunia kwa namna na jambo fulani lakini jamii nyingine na wakatumia kitu kilekile kwa namna nyingine na kwajambo lingine tofauti.
Hivyo basi kadhaalika katika mfululizo wetu wa kujuzana mabo na vitu  mbali mbali vinavyo tuzunguuka katika jamii zetu leo tuta juzana pia faida za yai kwa tiba ya maradhi ya mwili vile vile maradhi ya kiroho nahapa tuta juzana mambo kama yafuatayo.

+255717108210

+255685566362.1-#vidonda vya tumbo.
Kwamtu mwenye kusumbuliwa na mafadhi ya vidonda vya tumbo basi anaweza kutumia yai kuwa tiba kwake kama hivi.
Chukua yai la kuku wa kienyeji 1 lipasue changanya na maziwa glass moja weka na kijiko kikubwa kimoja cha asali na unga wa uwatu kijiko kidogo cha chai na habbat soda kijiko kidogo cha chai.

+255685566362

+255717108210

Koroga vizuri kisha kunywa mchanganyo huo kutwa mara mbili asubuhi kabla hujala kitu na usiku wakatk wa kulala fululiza kwa mda wa siku saba kisha baada ya hapo utakuwa unatumia mara moja tu kwa siku mda wa siku 21 hadi 30 na vidonda vitakuwa vimepotea kabisa.

2-# Mtoto mwenye kukosa afya ya mwili.
Kama mtoto anakuwa anadhohofika mwili wake haupati nguvu basi mtafutie yai la kuku lichemshe likasha ivya imenye kisha chukua kile kiini kisage kwa mwiko litie katika kibakuli chake cha uji changanya kwanza pembeni unga wa dawa hizi uwatu. Unga wa kitunguu thaumu. Unga wa sufa.
Changanya vizeri kisha chota kijiko kidogo chai kimoja na nusu mchanganyie katika uji na kile kiini cha yai mpe asubuhi na jioni muda wa wiki tatu tu.

3-#Kumvuta mpenzi.
Ikiwa mtu alikuwa na mpenzi wake katika hili na lile basi wakatofautiana ika mmoja anataka kumrudisha mwenzie basi atafanya kama ifuatavyo chukua mayai saba ya kuku yaoshe kwa maji ya waridi na ukimaliza yafukize kwa udi ama ubasi makha miski kisha kila yai moja liandike herufi hizi ( ب د و ح ) kila yao ataziandika hizo herufi mara ishirini na tano (25).

+255717108210

+255685566362

 baada ya hapo washo moto wa mkaa mkali changanya chumvi ya mawe ubani makha.mtama. na pilipili mtama.anza kusoma neno hilo baduhu mara elfu saba(×7000) kila unapo maliza mara elfu moja uta muita mkusudida jina lake mara saba kisha utatia nia yako ya kimwita kisha utaliweka lile yai katika moto mkali ukio kolea utafanya hivyo mbaka mayai yote saba yatakapo kwisha basi muitajiwa atatudi bila shaka.
Zingatia zoezi hili hufanywa siku ya jumaa pili ama alhamisi.

4-#kutoa nuksi.
Kama mtu ana nuksi mambo yake haya endi kila analopanga halitekelezeki basi atachukua mayai saba kisha utayaandika aya hizi  إذاجاءنصر لله والفتح ورايت اناس يد خلون فى دينلله افواجا utaiandika katika kila yai moja mara tatu kisha utayasomea sura hiyo nzima mara mia moja (100).

+255717108210

+255685566362

kisha uta soma  يا يا فتا ح يا رزاق mara elfu moja (1000) utayatia ndani ya ndoo ya maji pamoja na maji ya mua kisha changanya na maji wa waridi na miskk nyeupe na kuoga pasipo kuwa na najisi lakini jambo hili litatakiwa kufanyika siku ya nyota yako na kwa  saati alaba ya siku hiyo baada ya hapo mayai matatu uta yachemsha na kula kila siku moja yai moja na inshaa allah majibu uta yapata ma mambo yata funguka.

5-#Kinga ya mji.
Kuna watu kwenye miji yao usiku kulala ni mtihani hii yote husababishwa na wachawi kuweza kupita katika makazi hayo na kupelekea kuweza kufanya vituko wanavyo vigaka wao mara utasikia kaa anamwaga michanga mara kama kkumbe kinakanyaga juu ya paa kiasi hata watoto hupiga kelele tu hovyo na wao hujisikia starehe kwao endapo mtu katika nyumba yake hata wachawi hao wamfanyie vituko na pawe na amani basi atafanya hivi.

Chukua yai la kuku wa kienyeji yai safi liandike  إذاجاءنصر لله والفتح ورايت ناس يد خلون kisha aya hii ومكرو ومكرنا  فهم لا لا لا لا لا لا لا utaandika katika mayai manne kisha utasomea huku ukiwa unachoma udi karaha ubani uvumba mushtaka haltiti maganda ya vitunguu maji na vitunguu thaumu.

Utasoma sura hiyo mara 313 na hiyo ana mara 1000 kisha uta fukia kila pembe ya nyumba yai moja na mlangoni sasa utafukia yai lakini juu yake uta funika na kile chungu kipya kwa manuizo makali basi chawi atakapo kuja hapo mawili aidha asiione nyumba ama akiingia hapo asubuhi unaweza ukamkuta mtu hapo haeleweki akili zake😆😘😀🤗anakuwa kama amepumbazika flani hivi na litakuwa fundisho kwa wengine hawato taka tena kuja hapo na kufanya upuuzi wao.
 
Kwa ushauri na tiba fika ofsini kwa mawasiliano.

+255685566362.     
     
Watts up 

              +255717108210.



0 comments:

Post a Comment