SAHANI.
hiki ni chimbo ambacho maarufu sana kwa ajili ya kupakulia chakula kwa ajili ya kula na matumizi mbalimbali.
Sahani mi miongoni mwa thamani za ndani zenye kutumika tangu enza na enzi.
Ingawaje hutengenezwa kwa kutumia material mbali mbali kwajinsi tecnologia inavyo endelea kukuwa mfano wa meterial hayo ni kama vile plastics. bati.silver.mifupa udingo na shaba.
+255717108210
+255685566362
Sahani mbali na matumizi kwa ajili ya kuwekea chakula na vitu vingine kwa matumizi ya nyumbani ya kawaida lakini pia sahani huweza kutumika katia mambo tofauti na vyakula zimekuwa zikitumika kwa kazi zingine tangu zama na hata sasa.
Sahani huweza kufanya kazi tofauti kulingana na material iliyo tumika kutengenezewa kila sahani kulingana na material yake sambamba na rangi zake basi huweza kufanya kazi mahsusi.
Kwa watu wa zamani wakale sahani waliweza kuzitumia sahani maalumu kwa kufanikisha mambo kadha wa kadha miongoni mwa mambo ambayo yalikuwa yakifanywa kwa kutumia sahani ni kama vile.
(1)#Kumwita jinni.
Katika kumuita jinni walikuwa wanachukua sahani ya shaba kicha wanamchukua jogoo ambalo hakija anza kuwika kipindi cha mwezi unapo andama wanamfungia katika chumba kwa siku tatu huku wakimuekea maji kuoitia sahai ya shaba baada ya hapo wana muachia kisha baada ya mwezi ama miezi miwili yule kuku wana aanza kuwa wanamfatilia wakiona kila anapo taka kuwika ana tazama juu basi ni ishara kwamba kiumbe kimeanza kuinekana wanamchinja yule kuku na kuchukua kichwa chake kisha
+255717108210
+255685566362
wanakichom pamoja na macho ya paka mweusi ungawake wanakuwa kipindi cha mwezi ulio komaa anajipaka kama wanja analala akiwa katika chumba cha peke yake na khtandika nguo nyeupe kadhaaalika na kuvaa pia basi jinni humtokea mtu na kuingea nae na kufanya mikataba yao.
(2)#Kumsahau mtu.
Ikiwa kama mtu ana mtu ambae amegombana nae ama amefariki lakini bado amemganda kichwani yaani bado kila mara tashira ya yule mtu inamkaa kichwani.
+255717108210
+255685566362
Basi atachukua sahani ya kio yaani ni sahani ya udongo ambayo huweza kuona upande wa pili kipindi nyota huonekana vizeri nyuma utaandika jina la mtu anae takiwa kusahauliwa na kwa upande wa ndani utaandika khatami suleymani kisha baada ya hapo utaiweka juu ya nyuma usiku kucha asubuhi huitia maji ile saha ni na kuyanywa muhusika mwenye kuhitaji kusahau basi mtu huyo atamsahau.
(3)#Kumtoa mtu jinni mchafu.
Utachukua sahani ya bati nyeupe kisha ataiandika aayatil qursiyu mara tano kwa zafarani kisha ataweka maji ya waridi na miski nyekundu kisha utajaza maji kiasi na mbele yake utawasha mshumaa mweupe mmoja.
+255717108210
+255685566362
utamsomea aayatul kursiyu mara 313 mgonjwa mwenye majinni huku akiwa ana yaangalia yale maji basi anaweza akamuona yule jinni ana kimbia ama kuona picha za ajabu ajabu ukimali na mgonjwa hakuina kitu basi atayachukua yale maji na kuyaoga na kunywa kwa muda wa siku saba na ikiwa yatabadilika rangi tofauti na wino ulio andikia basi maji hayo utaenda kuyamwaga chini na mti mkubwa ama baharini na mgonjwa atapata afya na jinni kuondoka.
(4)#Kutoa uchawi mwilini.
Kwa mtu ambaye amesibiwa na uchawi wa kibinaadamu basi atachukua sahani ya udongo nyeupe inakuwa bora kama haina maua kisha utaiandika بسم لله ارحمن ارحيم mara 111 kisha ukaisomea sahani ile huku ukiwa unaifusha kule kwenye maandishi ubani uvumba mushtaka na udinadi utaisomea ulicho kiandika mara 5502.
+255717108210
+255685566362
Ukimaliza utatia maji wa ridi na marash rose na maji ya bahari utaiyayusha kisha utaongeza maji safi ya kawaida na kuhifadhi vizuri mgonjwa atakuwa anakunya na kijipaka mweili mzima kwa mda wa siku saba (7).
(5)#Kumdhibiti mpenzi.
Ikiwa mtu anampenzi wake ambae maelewano yao hayapo sawa kugombana hakuishi maelewano hakuna badi atachukua sahani ya udongo nyeupe utaiandika ile saha ni ndai yake يا ودود mara 140 pembezoni mwake utawasha mishumaa mitatu mweup. njano na mwekundu.
Kisha utasoma jina hilo uliloandika mara 1000.
+255717108210
+255685566362
Baada ya kumaliza utatia maji na kuchujua maandishi atayanawa usoni kwa manuizo maalumu baada ya hapo yale maji utamlisha mpenzi wako.
Basi hakika kila atakapo kuwa atakuwa ni mtu mwenye kukuwaza wewe tu kwani kila mda sura yako itakuwa akilini mwake na hapo ndio atakuwa na mapenzi mazito na utulivu juu yako.
Usifanye kwa kurudia rudi kwani atakuwa kama chizi wa mapenzi.
Hayo ni miongoni mwa macache kuhusiana na sahani ingawaje yapo mengi lakini tutazidi kujuzana kila tupatapo mda mzuri.
Kwa maswali na ushauri wa kitiba .
+255717108210
0 comments:
Post a Comment