#MBAAZI NA FAIDA ZAKE.
MBAAZI-ni mti ambao unatoa matunda mambayo huitwa mbaazi mbaazi ambazo ni maarufu kwa ukanda wa afrika na baadhi ha sehemu za dunia haswaa ukanda wa mashariki ya dunia.
#mbaazi nizao la biashara pia kwani watu huweza kulima kwa ajili ya kuuza na kujipatia fedha za kukidhi haja zao mbalimbali za kifamilia na kibinaadamu.
#mbaazi ambayo ni zao litokanalo na mbaazi zina faida nyingi mno ingawaje wengi tunalipenda kwa radha yake kama mboga na wengine
+255717108210
+255685566362
huchanganya na nafaka zingine hutengenezea mlo kamili lakini nje na kutumika kama chakula cha familia mbaazi unafaida zingine ambazo pia ni msaada mkubwa katika maisha yetu ya kila siku.
#Faida za mbaazi.
1-#mbaazi katika maradhi.
#mbaazi kwa mtu mwenye majini atachukua majani ya mbaazi 41 atachanganya na #miyatu saaila,
#ndulele 11,
#na kivumbasi,
#na halititi kisha utavitia vyote hivyo kwenye sufuria kubwa na maji mengi unaifunika mbaka ichemke sana kicha utajifukiza kila jioni kwa siku 3 mfululizo.
+255717108210
+255685566362
2-#kutembewa na vitu tumboni.
#chukua majani saba lakini anae yachuma chume kwa mdomo na ayafiche nyuma yake asiyaangalie kwa macho mbaka akupe kisha yatafune na kumtemea mgonnwa tumboni na umsugue asubuhi na jioni siku tatu.
3-#mkwa maumivu ya kichwa.
#chukua mzizi wa mbaazi usage kwenye jiwe kisha changanya na mafuta ya zaituni jipage mahala panapo uma asubuhi kabla jua halija kuwa mali na jioni pindi linapo poa kukaribia kuzama.
na uziku wakati wa kulala chukua majani yake changanya na halititi ujifushe na kichaa kita kisha maumivu.
+255685566362
+255717108210
4-#mtoto kushtuka usiku.
#chukua majani ya mbaazi 21 ya twange yakiwa laini changanya na majani ya mdimu na maji safi muogeshee jioni kabla jua halija zama na umuelekezee linapo zama jua atatulia na kama aazitu kushtuka mzazi nenda kachunguzwe zaidi.
5-#kutoa uchawi mwilini.
#chukua mziziz wa mbaazi usage na mwangajinni kisha tia kwenye maji ya uvuguvugu kunywa nusukikombe na kuoga asubuhi na jioni siku.
7.sihiri(uchawi)utaondoka.
6-#kukidhiwa haja.
chukua mzizi wa mbaazi.
#na namata,
#mzizi wa mpamba,
utwange ungawake na uchanganye na mafuta ya nazi ujipake usoni.
#kisha changanya na namata na hofi na sukari kidogo choma kwa manuizi maalumu huku ukitaja jina la unae mfata mara 7.
7-#kumwita mpenzi.
#chukua majani makavu yalio anguka chini yenyewe asubuhi kabla jua halija chomoza changanya na chumvi ya mawe kasela na baruti choma kwenye moto mkali wa mkaa akati wa magharibi na saa saba mchana kumwita jina lake mara 7.
8-#kuzuia wachawi.
#chukua mizizi ya mzalia mbali na mzizi wa mbaazi changanya pamona funga kwenye kitambaa cheusi kisha somea aayatul qursiyyu mara 170. baada ya hapo zika pembe nne za nyumba.mchawi hatoingia.
+255685566362
+255717108210
9-#miguu kuwaka moto.
#changanya majani na mzizi ponda pamoja na ndula changanya na majivu mafuta ya karafuu na chumvi kidogo uchuwe maumivu yata potea.
10-#kuvuta wateja kwatika biashara.
#chukua mzizi usage tia kwenye maji na chumvi kidogo tia kwenye chombo kisafi chukua na yai safi la kuku pasulia humo kisha somea suuratil waaqia mara 16 alafu akimaliza kamwage sehemu ya biashara yako na wateja watafika kwako.
11-#kumuamisha adui katika mji.
#chukua kijiti cha mbaazi kitoboe ingiza kikaratasi chenye jila la huyo mtu na uzi wa kitambaa cha kuokota barabarani kisha mfunge njiwa upande wa kushoto na umrushe mwisho wa mji kinyume nyume na huyo mbaya wako basi ataondoka bila kurudi mahala hapo.
kwa mashali na ushauri.
+255685566362
0 comments:
Post a Comment